Mabaki ya ‘jitu’ la ajabu yafukuliwa, yana vidole 6

Huyo ndiye aliyeuawa na waisrael kule agano la kale kwani alikuwa na vidole sita mkononi na mguuni.
Mungu anaendelea kufunua neno lake.
Imani yangu ni hiyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona hata mimi nilizaliwa na vidole sita
Ni sawa wala si ajabu but chromosomal DNA zako uko connected na hawa watu wa kale ''Giant of the old'' hili ni somo kabisaa linajitegemea, kwa wakristo si mnajua Goriath, mfalme ogu wa Bashan, Samson, Pharaoh lamseh haya yalikuwa ni majitu hasa.yaani watu wa leo ni km panzi tu!

Kila kabila au jamii Duniani kote kuna hadithi ya mijitu mikubwa ya kale, mfano kabila la Wajita au waruli kama mko humu ndani waliliita ''Wesumwa Amakaka'' kuna kale ka wimbo wanaimbaga .... 'Kagoma lila lila dondori! nibirikile wesumwa dondori! ....... ila yaliondolewa kutoka uso wa dunia na deluge kwa sababu ya ubabe wao! kwa mujibu wa Sumerian cuneiform.

unaendaga kutambikia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…