green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
Israel walipiga pia mji wa mpakani wa Iran na Iraq,na udunguzi hufanyika nje ya mipaka ili madhara yasije kwakohiyo ni booster tu halafu unafanganya yametunguliwa wakati yameokotwa iraq karib na mpaka Wa Iran
Katyusha za hizbullahKama ni hivyo basi uko maabara za Israel zitakuwa zimejaa hayo madude.
Ingekuwa si ya maana isingekuwepo midle east kitambo. Mwanzo mlisema hawawezi rusha hata jiwe Irani, kiko wapi sasa..Israhell ukiisikiliza bbc dah utaiona ya maana
Nani alisema hawezi israhell paper tigerIngekuwa si ya maana isingekuwepo midle east kitambo. Mwanzo mlisema hawawezi rusha hata jiwe Irani, kiko wapi sasa..
Kwanza chimbeni vyoo bila kuomba msaada, tutawafikiriaJeshi letu watumie hii nafasi kuomba hata mabaki yaliyopigwa na Irani ili na wao wachunguze waunde kombora Bora zaidi.
Watajinyea, wakiwndelea kubeep watapigiwa, wazungu wa magharibi wanatafuta kumalizana na Iran kabla hajaota pembe ndefu kama kidumu, walikua wanatafuta sababu tu, yeye hasanuki kukwepa hiloApo reverse engineering inahusu wanaunda chuma chao murua kabisa na wao ndio maexpert wa makombora walio bobea
Washachelewa bro haiwezekani saiviWatajinyea, wakiwndelea kubeep watapigiwa, wazungu wa magharibi wanatafuta kumalizana na Iran kabla hajaota pembe ndefu kama kidumu, walikua wanatafuta sababu tu, yeye hasanuki kukwepa hilo
Madrasa ndo wamesema hivyo?Israel buana! ๐๐
Hii ndiyo teknolojia ya juu kabisa ya makombora kweli?
Haya si sawa na maguruneti ya kuwindia bata mzinga wajameni?๐๐
Huu sio kweli hayo ni makombola ya Iran huko Iraq.โ ๏ธ ๐๐ซ๐๐๐ค๐ข๐ง๐ ๐๐๐ฐ๐ฌ โ ๏ธ
๐ฃ๐ถ๐ฐ๐๐๐ฟ๐ฒ๐ ๐ผ๐ณ ๐๐ป๐๐ฒ๐ฟ๐ฐ๐ฒ๐ฝ๐๐ฒ๐ฑ ๐๐๐ฟ๐ฎ๐ฒ๐น๐ถ ๐ ๐ถ๐๐๐ถ๐น๐ฒ๐ ๐ฅ๐ฒ๐๐ฒ๐ฎ๐น๐ฒ๐ฑโฆ
Keep in mind these were Israelโs โtop secretโ missiles.
This missile is either the โ๐ฅ๐ผ๐ฐ๐ธ๐โ or โ๐๐ผ๐น๐ฑ๐ฒ๐ป ๐๐ผ๐ฟ๐ถ๐๐ผ๐ปโ both top-secret Israeli tech.