Mabaki ya makombora yaliyotunguliwa kupelekwa maabara

Mabaki ya makombora yaliyotunguliwa kupelekwa maabara

Haya ni makombola ya ballistic ambayo ni ya masafa marefu. Hili lililotumika ni Intermediate-range ballistic missile (IRBM): 3,000 to 5,500 kilometers (1,860 to 3,410 miles) mara nyingi yanakua yamebeba vichwa vya nyuklia.

Nadhani hii ni alert imetolewa na jeshi la Israel kwamba kama wakiendelea kitachofata ni vita ya nyuklia. Nisiseme sana ila yanatumika pia kusafirishia satellite
 
Haya ni makombola ya ballistic ambayo ni ya masafa marefu. Hili lililotumika ni Intermediate-range ballistic missile (IRBM): 3,000 to 5,500 kilometers (1,860 to 3,410 miles) mara nyingi yanakua yamebeba vichwa vya nyuklia.

Nadhani hii ni alert imetolewa na jeshi la Israel kwamba kama wakiendelea kitachofata ni vita ya nyuklia. Nisiseme sana ila yanatumika pia kusafirishia satellite
Mbona kinafuata tu lazima achapike tu huyo zayuni alafu apige nyukilia yake tuone kama litaendelea kua taifa pale mido east tena mbele ya baba ake
 
Offf itawajaa Iran katangaza vifo4 ulipizaji utadhingatia pia vifo vya wajeda w Israel hiii inaogopesha sana , Israel kakosea kulipa kipindi ichi, Iran anapiga 2 in 1 kusaidia washilka wake, Israel ingechagua aman tu kulejesha ardhi yawatu yeye abaki na ileile ya UN walipewa lkn kutumia ubabe kuchukua ardhi kunaenda mtokea puani akili ya Israel vile ananguvu anaona naweza kutetea upolaji wangu sasa nguvu akijikuta zinapungua na kupigwa pengine ndio atakumbatia amani wkt waharabu wakijua uyu kashatepeta iyo aman awatoitaka kabisa. Lkn Israel ingekuwa kweli wanaakili kama tunazodanganywa basi izi nguvu walizobakinazo wao na USA wangezitumia kutafuta aman waanze maisha mapya ya aman kuweka mataifa2 lkn kenge asikii adi damuyasikio itoke.
 
Ingekuwa si ya maana isingekuwepo midle east kitambo. Mwanzo mlisema hawawezi rusha hata jiwe Irani, kiko wapi sasa..
Wewe unasaidiwa na mataifa 30 tajiri duniani kwanini upotee hata ungekuwa wewe ungepotea licha ya misaada lukuki?
 
⚠️ 𝐁𝐫𝐞𝐚𝐤𝐢𝐧𝐠 𝐍𝐞𝐰𝐬 ⚠️

𝗣𝗶𝗰𝘁𝘂𝗿𝗲𝘀 𝗼𝗳 𝗜𝗻𝘁𝗲𝗿𝗰𝗲𝗽𝘁𝗲𝗱 𝗜𝘀𝗿𝗮𝗲𝗹𝗶 𝗠𝗶𝘀𝘀𝗶𝗹𝗲𝘀 𝗥𝗲𝘃𝗲𝗮𝗹𝗲𝗱…

Keep in mind these were Israel’s “top secret” missiles.

This missile is either the “𝗥𝗼𝗰𝗸𝘀” or “𝗚𝗼𝗹𝗱𝗲𝗻 𝗛𝗼𝗿𝗶𝘇𝗼𝗻” both top-secret Israeli tech.
Kuna wakati Iran waliweza kuiteka drone yao na kui command hadi ikatua Tehran. Kama sikosei hadi sasa ipo kwenye makumbusho yao.

Ilitushangaza wengi.
 
Haya ni makombola ya ballistic ambayo ni ya masafa marefu. Hili lililotumika ni Intermediate-range ballistic missile (IRBM): 3,000 to 5,500 kilometers (1,860 to 3,410 miles) mara nyingi yanakua yamebeba vichwa vya nyuklia.

Nadhani hii ni alert imetolewa na jeshi la Israel kwamba kama wakiendelea kitachofata ni vita ya nyuklia. Nisiseme sana ila yanatumika pia kusafirishia satellite
Hayo makombora yamerushwa na Israel kutokea kambi ya Marekani huko Iraq yenye range ya KM 100+
 
Back
Top Bottom