Mabaki ya mwili wa Naomi Marijani aliyeuawa na mume wake Hamisi Luwogo kwa kuchomwa moto kwa magunia mawili ya mkaa kuzikwa Kilimanjaro

Mabaki ya mwili wa Naomi Marijani aliyeuawa na mume wake Hamisi Luwogo kwa kuchomwa moto kwa magunia mawili ya mkaa kuzikwa Kilimanjaro

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Mabaki ya mwili wa Naomi Orest Marijani aliyeuawa kisha kuchomwa moto kwa kutumia magunia mawili ya mkaa ndani ya banda la kuku na Mume wake Hamis Luwongo Mai 15, 2019 maeneo ya Gezaulole Kigamboni Jijini Dar es salaam, yanaagwa kwa Baba yake mdogo maeneo ya Mtoni Kijichi leo Ijumaa Machi 14, 2025 kwa ajili ya kusafirishwa kwenda kwenye maziko nyumbani kwao Upareni Mkaoni Kilimanjaro.

Soma: Aliyemteketeza mkewe kwa magunia mawili ya mkaa ahukumiwa Kunyongwa mpaka Kufa

Mabaki ya mwili wa Naomi unaagwa baada ya hukumu iliyotolewa Februari 26, 2025 na Mahakama Kuu Kanda ya Dar es salaam na Jaji wa Mahakama hiyo Hamidu Mwanga ya kunyongwa hadi kufa kwa aliyekuwa Mume wake Hamis Luwongo baada ya kukutwa na hatia ya kumuua Mke wake huyo, Naomi Marijani.

 
Mabaki ya mwili wa Naomi Orest Marijani aliyeuawa kisha kuchomwa moto kwa kutumia magunia mawili ya mkaa ndani ya banda la kuku na Mume wake Hamis Luwongo Mai 15, 2019 maeneo ya Gezaulole Kigamboni Jijini Dar es salaam, yanaagwa kwa Baba yake mdogo maeneo ya Mtoni Kijichi leo Ijumaa Machi 14, 2025 kwa ajili ya kusafirishwa kwenda kwenye maziko nyumbani kwao Upareni Mkaoni Kilimanjaro.

Soma: Aliyemteketeza mkewe kwa magunia mawili ya mkaa ahukumiwa Kunyongwa mpaka Kufa

Mabaki ya mwili wa Naomi unaagwa baada ya hukumu iliyotolewa Februari 26, 2025 na Mahakama Kuu Kanda ya Dar es salaam na Jaji wa Mahakama hiyo Hamidu Mwanga ya kunyongwa hadi kufa kwa aliyekuwa Mume wake Hamis Luwongo baada ya kukutwa na hatia ya kumuua Mke wake huyo, Naomi Marijani.

Sad. Maisha yana mengi ya kusikitisha sana.
 
Mabaki ya mwili wa Naomi Orest Marijani aliyeuawa kisha kuchomwa moto kwa kutumia magunia mawili ya mkaa ndani ya banda la kuku na Mume wake Hamis Luwongo Mai 15, 2019 maeneo ya Gezaulole Kigamboni Jijini Dar es salaam, yanaagwa kwa Baba yake mdogo maeneo ya Mtoni Kijichi leo Ijumaa Machi 14, 2025 kwa ajili ya kusafirishwa kwenda kwenye maziko nyumbani kwao Upareni Mkaoni Kilimanjaro.

Soma: Aliyemteketeza mkewe kwa magunia mawili ya mkaa ahukumiwa Kunyongwa mpaka Kufa

Mabaki ya mwili wa Naomi unaagwa baada ya hukumu iliyotolewa Februari 26, 2025 na Mahakama Kuu Kanda ya Dar es salaam na Jaji wa Mahakama hiyo Hamidu Mwanga ya kunyongwa hadi kufa kwa aliyekuwa Mume wake Hamis Luwongo baada ya kukutwa na hatia ya kumuua Mke wake huyo, Naomi Marijani.

Kilimanjaro ndo wapi? Semeni UPARENI tuelewe
 
Wapare!! Mimi nimeshuhudia mama na watoto wake wawili wa kike, walikuwa, wanaliwa na jamaa mmoja,wote,ila wao bila kujua ,wanamchangua mtu mmoja. Wapare😔
 
Dada zangu wa kipare wengi kwenye ndoa ni changamoto sana hasa umkute ana kakibarua kake.......

Wengi wao huwa hawapendi ndugu wa mume hasa pale mume akiwa ana hela....hapo watajaa wapare kama wapo Vudee...ni mwendo wa kande tu.....

Wakiolewa na kabila lingine wanaona kama wamepata fursa ya kuchuma na kupeleka kwao na kudharau kabila la mumewe.....

Hilo la uchoyo linajulikana halihitaji maelezo......

Kuwa na mpenzi wake wa kijijini waliyeanza naye mahusiano....hao huwa hawaachani hata kama wametawanyika mikoa mingine kutafuta maisha lakini wakirudi vijijini kwenye masikukuu ni kama kawaida

Sio wote lakini wengi wao wapo hivyo.....

Ni dada zangu lakini siwezi kuwaweka kama chaguo la kwanza kwa mtu anayehitaji kuoa.....
 
Haya ndo matokeo ya mwanamke mwenye shingo ngumu na mjuaji.
Wanawake tumieni nguvu ya maneno katika kumbembeleza mtawaweza wanaume.
 
Wapare!! Mimi nimeshuhudia mama na watoto wake wawili wa kike, walikuwa, wanaliwa na jamaa mmoja,wote,ila wao bila kujua ,wanamchangua mtu mmoja. Wapare😔

Sasa Kama walikuwa hawajui wana kosa gani hapo? Assume Mama Hana mume, kosa lake ni lipi?
 
Dada zangu wa kipare wengi kwenye ndoa ni changamoto sana hasa umkute ana kakibarua kake.......

Wengi wao huwa hawapendi ndugu wa mume hasa pale mume akiwa ana hela....hapo watajaa wapare kama wapo Vudee...ni mwendo wa kande tu.....

Wakiolewa na kabila lingine wanaona kama wamepata fursa ya kuchuma na kupeleka kwao na kudharau kabila la mumewe.....

Hilo la uchoyo linajulikana halihitaji maelezo......

Kuwa na mpenzi wake wa kijijini waliyeanza naye mahusiano....hao huwa hawaachani hata kama wametawanyika mikoa mingine kutafuta maisha lakini wakirudi vijijini kwenye masikukuu ni kama kawaida

Sio wote lakini wengi wao wapo hivyo.....

Ni dada zangu lakini siwezi kuwaweka kama chaguo la kwanza kwa mtu anayehitaji kuoa.....
Aisee ndio ivyo kumbe, hii inshu niliwai kusikia hata huko uchagani basi itakuwa Kilimanjaro yote
 
Kwani sheria yetu inaruhusu kunyongwa kweli? na hata kama sheria inaruhusu ipo kwenye makaratasi tu sio kiuhalisia
 
Victim blaming. Hamsemi mabaya ya muuaji mnaona alichofanya ni sawa tu. Hakuna sababu yeyote ile inayohalalisha kutoa uhai wa mtu. Wamatumbi wengi wenu sijui ni kukosa exposure bado mna ujinga mwingi vichwani.

Haya ndo matokeo ya mwanamke mwenye shingo ngumu na mjuaji.
Wanawake tumieni nguvu ya maneno katika kumbembeleza mtawaweza wanaume

Wapare!! Mimi nimeshuhudia mama na watoto wake wawili wa kike, walikuwa, wanaliwa na jamaa mmoja,wote,ila wao bila kujua ,wanamchangua mtu mmoja. Wapare😔
Dada zangu wa kipare wengi kwenye ndoa ni changamoto sana hasa umkute ana kakibarua kake.......

Wengi wao huwa hawapendi ndugu wa mume hasa pale mume akiwa ana hela....hapo watajaa wapare kama wapo Vudee...ni mwendo wa kande tu.....

Wakiolewa na kabila lingine wanaona kama wamepata fursa ya kuchuma na kupeleka kwao na kudharau kabila la mumewe.....

Hilo la uchoyo linajulikana halihitaji maelezo......

Kuwa na mpenzi wake wa kijijini waliyeanza naye mahusiano....hao huwa hawaachani hata kama wametawanyika mikoa mingine kutafuta maisha lakini wakirudi vijijini kwenye masikukuu ni kama kawaida

Sio wote lakini wengi wao wapo hivyo.....

Ni dada zangu lakini siwezi kuwaweka kama chaguo la kwanza kwa mtu anayehitaji kuoa.....
 
Victim blaming. Hamsemi mabaya ya muuaji mnaona alichofanya ni sawa tu. Hakuna sababu yeyote ile inayohalalisha kutoa uhai wa mtu. Wamatumbi wengi wenu sijui ni kukosa exposure bado mna ujinga mwingi vichwani.
Sababu zipo tena nyingi sana.
 
Back
Top Bottom