Bufa
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 12,599
- 26,263
Sababu zipo tena nyingi sana.
Mwanao akiuwawa na mme wake ufurahi zaidi (god forbid). Mna upumbavu endelevu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sababu zipo tena nyingi sana.
Umewalaani wanaume wanaopiga wake zao, hebu walaani na hao wanawake wenye shingo ngumu.Sema ... majivu....
Wanaume mnaopiga wake zenu mlaaniwe, na nyie wanawake muache kuwa na shingo ngumu.
Kuna sehemu inaitwa upareni!? Kwahiyo kagera tupaite uhayani!? Punguza ujuajiNeno Upareni tu lilitosha. Kilimanjaro imeingiaje? Ulishasikia mtu anazikwa Rombo Kilimanjaro?
Kama we ni mwanaume hifadhi maneno kwenye hili. Tumuombee kheri mwanaume mwenzetu huko mbeleni lolote litokee hata msamaha wa Rais arudi uraiani kupambania ndoto zake. Mpaka mtu anafikia maamuzi magumu hivyo kuna mengi nyuma ya pazia. Hawa wanawake waone hivyohivyo tu ila ukiishi nao ndani (hasa hao ma super woman) usipoishia kukombia mji unaweza kufanya tukio la ajabu.Tukio alilolifanya Hamis ni baya sana
Punguzeni UMALAYA mpaka mnaogopa kutaja kwenu maana mnajulikana tabia mbovuKuna sehemu inaitwa upareni!? Kwahiyo kagera tupaite uhayani!? Punguza ujuaji
Sababu zipo ndiyo maana wanauliwa.Mwanao akiuwawa na mme wake ufurahi zaidi (god forbid). Mna upumbavu endelevu.
Pamoja na hayo huyu ndugu aliingiwa na roho ya ajabu, hiyo sio hali ya kawaida bila kujalisha alifanyiwa nini hakupaswa kufanya unyama huo. Bora angemwacha aendelee na maisha yake na yeye akaendelea na yake kuliko kitendo alichokifanya. Anapaswa kumlilia Mungu amsamehe kabla ya Serikali.Kama we ni mwanaume hifadhi maneno kwenye hili. Tumuombee kheri mwanaume mwenzetu huko mbeleni lolote litokee hata msamaha wa Rais arudi uraiani kupambania ndoto zake. Mpaka mtu anafikia maamuzi magumu hivyo kuna mengi nyuma ya pazia. Hawa wanawake waone hivyohivyo tu ila ukiishi nao ndani (hasa hao ma super woman) usipoishia kukombia mji unaweza kufanya tukio la ajabu.