mkuu. Kabwela anaondoka kwa njaa na kukosa matibabu. Matajiri wanaondoka kwa nyambizi wakitaka kuweka historia ya kutembelea Titanic. Hiyo nauli ya kwenda na kurudi kwa kutumia nyambizi mtu mmoja akipewa huku kwetu, tayari ni tajiri.Ha ha ha kwanini mkuu?
Kabisa kaka milion 700 ni pesa ndefu saana.mkuu. Kabwela anaondoka kwa njaa na kukosa matibabu. Matajiri wanaondoka kwa nyambizi wakitaka kuweka historia ya kutembelea Titanic. Hiyo nauli ya kwenda na kurudi kwa kutumia nyambizi mtu mmoja akipewa huku kwetu, tayari ni tajiri.
James Cameron, mtunzi na muongozaji wa filamu ya Titanic amesema yeye amewahi enda eneo ilipo Titanic kwa mara 33 na amekaa ndani ya hiyo meli mara nyingi kuliko Captain wa meli husika.
Alisema tatizo ni chombo walichoenda nacho
Kamba hiiJames Cameron, mtunzi na muongozaji wa filamu ya Titanic amesema yeye amewahi enda eneo ilipo Titanic kwa mara 33 na amekaa ndani ya hiyo meli mara nyingi kuliko Captain wa meli husika.
Alisema tatizo ni chombo walichoenda nacho
Nyambizi hiyo ilipata ajali katika eneo ilikotokea ajali meli ya Titanic mwaka 1992
Msababishi mkuu ni shetani au ibilisi na sio Mungu.
Kwani Mungu auui watu wake na siku ya hukumu ya kuja kuuawa waouvu ni hapo meisho atakapo rudi Yesu Kristo.
Hivyo dhana kuwa eneo hilo lina uwepo wa Mungu watu waache hivyo wajue kuwa eneo hilo lina uwepo wa shetani au ibilisi na hata pia washirika kama watesi wa watu wa Mungu kule Ukrain nao wachunguzwe kwenye hiyo ajali maana shetani yuko nao, namaanisha urusi na washirika wake wachunguzwe.
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Hakuna Cha Mungu wala shetani hapo!! Hayo yote yametokana na werevu na upumbavi wa binadamu!!
Tusisingizie vitu ambavyo tunaamini vipo tu tukapuuzia uhalisi tunaoutenda sisi kama sisi
Cameron's “Titanic” won best picture in 1998. The director has taken 33 dives himself to the wreckage of the Titanic, according to CNN...Kamba hii
naomba kujua urefu wake wa kina kutoka juu ya bahari mpaka hapo titanic ilipo...Uongoo huu.
Chombo chenye uwezo wa kufika pale kwenye masalia ya titanic vipo 4 tu dunia nzima hizo mara 33 aliendaje!?
Acha kujifariji kwa kuwa masikini, umasikini ni laana...Pesa sio kitu kabsa juu ya uhai
Na hapo ndio Mungu mtukufu anaonyesha juu ya pesa zako na wingi wake alaf kuna yeye mkubwa kuliko chochote kilee maana hapo wamekufa mamilionea kama sio mabilionea
Mungu tujaalie mwisho mwema InshAAllah
Acha kujifariji kwa kuwa masikini, umasikini ni laana...
Pesa sio kitu kabsa juu ya uhai
Na hapo ndio Mungu mtukufu anaonyesha juu ya pesa zako na wingi wake alaf kuna yeye mkubwa kuliko chochote kilee maana hapo wamekufa mamilionea kama sio mabilionea
Mungu tujaalie mwisho mwema InshAAllah