Mabalaa yaniandama tu Jamani!

Mwanamke anayeandika namna hii mimi huniondoa kabisa nguvu za kiume. Yaani napoteza hamu ya kuchat naye, napoteza hamu ya ku tianah naye. Kifupi ananikwaza. Namwona hana akili na pia nahisi ataniambukiza matatizo yake.

View attachment 2488513
Yaani mtu akiniandikia hivi hata namuona mvivu tu na huwa namdharau. Yaani anaandika bila kufanya editing.
 
Nakumbuka ulisema kuna baby mama umu umezaa naye au ndio uyo
 
Mkuu umemind mwandiko wake au hilo bango la wewe kuwa kapuku?🤔
 
Mwanamke anayeandika namna hii mimi huniondoa kabisa nguvu za kiume. Yaani napoteza hamu ya kuchat naye, napoteza hamu ya ku tianah naye. Kifupi ananikwaza. Namwona hana akili na pia nahisi ataniambukiza matatizo yake.

View attachment 2488513
Kakukomesha kweli kweli na yeye.
Pesa huna unapata wapi nguvu ya kuandika kithunguu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…