Mabalaa yaniandama tu Jamani!

Mabalaa yaniandama tu Jamani!

Mpe pesa , hizo x x zake hukuziona mwanzo?
Alafu kwenye Qma hizo hutaziona wala kuzikumbukuka 🤨
 
Mbona madem wa bongo wanapenda kuomba omba sana..?
Mambo haya ya kuombana pesa nì Bongo tu!
Ni kwa sababu wamegundua K zao ni biashara na wanaume wa tz wakiitwa dear tu basi huwa wanaanza kufikiri kwa kutumia kichwa ndogo na huwa rahisi kutowa pesa.
 
Mwanamke anayeandika namna hii mimi huniondoa kabisa nguvu za kiume. Yaani napoteza hamu ya kuchat naye, napoteza hamu ya ku tianah naye. Kifupi ananikwaza. Namwona hana akili na pia nahisi ataniambukiza matatizo yake.

View attachment 2488513
Wakwanza kufulia nani si ni huyo Ombaomba. Wanawake hivi huwa wanajikutaa sanaa et eeeh, ndiomana tunapowapa pesa bila kuwapa mitihani kama hii tunaonekana malofa sana.
 
Juzi kuna mmoja hata simjui anataka nimpelekee mtungi wa gas ya taifa.halafu anafosi kinoma.nikambloki.
Angeniomba kistaarabu na heshima ningemtumia anunue.
Wanawake wengi wamekuwa na stress sana za haya maisha!!
Msamehe. Mtumie tu.
 
Mtu mwenye akili hawezi tafuta kitu ambacho anacho dada. Na wewe ndo wale wale....ela ndo nini? Mi huwa siwapi pesa wanawake ambao hawana akili.
😂😂huna pesa wew ungekua nazo ungekuja kulia lia hapa wenzako wanahonga marange wala hawalii lii kama ww
 
Hilo nalo balaa?? mtoto wa kiume kabisa unakuja kulia jamii forum kulia😂😂wanaume mmeisha karibun huku kwetu ukikeni hizo tabia zetu kabisa za kulia lia😂
Mtu mwenye akili hawezi tafuta kitu ambacho anacho dada. Na wewe ndo wale wale....ela ndo nini? Mi huwa siwapi pesa wanawake ambao hawana akili
 
Sawa bhana, tumekwisha jua kuwa una uwezo mkubwa wa kutype kizungu. Wacha ubahili, tuma pesa upewe mbususu. 50k tu inakupa mawazo! Je ungehonga 64 inch smart tv?
 
Back
Top Bottom