Mzalendo JR
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 1,193
- 515
Lakini kipofu ana- compensated hearing and understanding ability! Madudu haya hata vipofu 'wanaona!"
Well said bro!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini kipofu ana- compensated hearing and understanding ability! Madudu haya hata vipofu 'wanaona!"
![]()
BALOZI wa Uholanzi nchini, alipotmbelea gazeti la MwanaHALISI na kukutana na uongozi wa gazeti hilo, Saed Kubenea Mhariri Mtendaji na Jabir Idrissa, Mhariri mkuu wa gazeti hilo.
Wakati huo huo, taarifa zilizolifikia MTANZANIA zilisema kuwa Jumuiya ya Mabalozi nchini jana zilikutana na kufanya kikao cha pamoja kujadili suala la Serikali kulifungia gazeti la Mwanahalisi, kwa kile kilichodaiwa kuandika habari za uchochezi.