Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
It doesnt matter.. ujumbe unaokuja na picha ndio una matter.Mbona kakonda gafla?,halafu usawa wa shingo kama kachomekea,editing ya kifala kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama wasomi wengine wangekuwa wanafanya namna hii nchi ingekuwa mbali sana. Lakini sasa tumejaza maprofesa waongo, wanafiki, waoga na wachumia tumbo.asad ni sawa na madokta wote na maprofesa wa CCM
Watachakaa..Tunasubiri kuona viongozi wa Jeshi la Polisi nao wakiwajibika/kuwajibishwa.
Mussa of the House Assad, the First of His Name, Controller and Auditor General, and Protector of the Check and Balance#ForTheThrone
Kurudishwa lazima arudishwe
Amefanya kazi yake vizuri, lakini huenda hayupo salama.asad ni sawa na madokta wote na maprofesa wa CCM
Dr Nchimbi... kama kumbukumbu zangu ziko sawa, mmojawao ni kati ya vijana sijui chipukizi wa chama waliopikwa wakaivika kisawasawa akishikilia nyadhifa nyingi ndani UVCCM na ngazi ya chama! Ni "mzalendo" kwelikweli kwa tafsiri ya chama. Hili chama sijui lina laana gani hakika!
Na serikali ikiwa imekopa na kufilisi mifuko uku wakijinafisi kwamba wamelipa, no wonder kulikuwa kumeletwa kikokotoziBila kuwaacha WANACCM walioshindwa kuwasilisha nyaraka NSSF
MiM
Wengi sasa wanajifunza kwake ili kuacha alamaKama wasomi wengine wangekuwa wanafanya namna hii nchi ingekuwa mbali sana. Lakini sasa tumejaza maprofesa waongo, wanafiki, waoga na wachumia tumbo.
Mwanadamu anaangamiza mwili lakini Mungu anampa uzima wa milele.Amefanya kazi yake vizuri, lakini huenda hayupo salama.
Itategemea ni "udhaifu"wa nani,kama alikuta hakuna gari,amerithi matatizo,labda itabaki alichukua hatua gani?lakini ni wazi lazima atumie gari.Kurudishwa lazima arudishwe
Pia yule mwanachadema aliyejimilikisha gari la Chadema!
kwanini wasianze na hawa 1b vikao vya bodi na wale wa sare....?Kutokana na ripoti ya CAG kuzilaumu ofisi za kibalozi za Tanzania nchini Brazil na Comoro kwa matumizi ya hovyo ya fedha za umma kwa kukodi magari, huenda mabalozi husika wakaitwa kuhojiwa na chombo maalumu ambacho nakifanya siri.
Baada ya mahojiano busara zitatumika kwa mujibu wa mamlaka za uteuzi.
Source: Chanzo nyeti serikalini.
Lengo la picha ni kufikisha ujumbe. Inategemea unataka picha ya kutazama.. au ya kuleta ujumbe?
Na yule aliyetafuna bil 3 za wanachama wa ccm piaPia yule mwanachadema aliyejimilikisha gari la Chadema!
Uhalisia ni muhimu sana,facts,hahaha!Lengo la picha ni kufikisha ujumbe. Inategemea unataka picha ya kutazama.. au ya kuleta ujumbe?
Sent using Jamii Forums mobile app