Kisoda James
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 1,114
- 813
Wrong approachKutana nao uwafundishe kiswahili kwa kuongea nao na kuwatafsiria,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wrong approachKutana nao uwafundishe kiswahili kwa kuongea nao na kuwatafsiria,
Inatosha mkuu tena saaaaaaaanakumpa kitabu pekee haitoshi.
Sawa ila tutabaki hivyohivyo, wewe umekwisha jifunza lugha ngapi?Inatosha mkuu tena saaaaaaaana
Mimi nimekwisha jifunza lugha nne (4). Mkuu, Infantry Soldier wewe lugha zank ngapi?Sawa ila tutabaki hivyohivyo, wewe umekwisha jifunza lugha ngapi?
Soldier ni mtaalam wa Public Relations & Courtesy tu. Hayo ya namna bora ya kujifunza Kiswahili ni kazi ya walimu wa hiyo lugha husika na sio yeye.Mbona hauandiki njia sahihi ya kufundisha kiswahili ili tuijue, au ndiyo hiyo ya kumpa kitabu akajifunze mwenyewe!
Hili swali ulipaswa kuniluza mimi na sio kuwapa lawama watu wengine wasiohusikaMbona hauandiki njia sahihi ya kufundisha kiswahili
Tunapenda Rais Magufuli apate changamoto, asishinde kwa 100% Membe akisimama,Rais Magufuli atashinda kwa 98% ila wakisimamisha wengine Magufuli ni 100%.Wazo jema sana kijana wangu. Komaa na nchi yako mpaka isonge mbele Zaidi.
Sijui...Hawana pesa za kununua hivyo vitabu amazon ?,
Wageni wanapokuja nyumbani kwako na ukaamua kuwapa chakula, soda ama juice kwani wao wanakuwa hawana pesa za kwenda kununua hotelini?...Hawana pesa za kununua hivyo vitabu amazon ?,
Sasa ndio umeandika nini hapa na wewe?Hawana pesa za kununua hivyo vitabu amazon ?, Kama kuna willingness ya kujifunza hata kama hakuna vitabu wataandika wenyewe...., lugha ni medium ya mtu/watu kupata wanachokitaka, kama wanachokitaka / kitafuta ni cha maana/manufaa kwao basi wenyewe watatafuta hio (tool) lugha ili wapate wanachokitaka...
Mtu ataandikaje lugha ambayo haijui mkuu? Be serious bhana...Kama kuna willingness ya kujifunza hata kama hakuna vitabu wataandika wenyewe
Watanzania kwa kupenda kuteteana hawajambo.Soldier ni mtaalam wa Public Relations & Courtesy tu. Hayo ya namna bora ya kujifunza Kiswahili ni kazi ya walimu wa hiyo lugha husika na sio yeye.
Unajua hii lughaMtu ataandikaje lugha ambayo haijui mkuu? Be serious bhana...
Haya ndio nini tena wee jamaa wee?Unajua hii lugha
Jaane kahan daga de de, Jaane kise saza de de,
Saath na de kamzoron ka, Yeh saathi hai choron ka
Baaton aur daleelon ka, Yeh hai khel vakeelon ka
Yeh insaaf nahi karta, Kisi ko maaf nahi karta
Maaf isse har khoon hai
origin yake maneno kwa hindi language ni haya
ये अँधा कानून है, ये अँधा कानून है
ये अँधा कानून है, ये अँधा कानून है
जाने कहाँ दग़ा दे-दे, जाने किसे सज़ा दे-दे
साथ न दे कमज़ोरों का, ये साथी है चोरों का
बातों और दलीलों का, ये खेल वकीलों का
ये इंसाफ़ नहीं करता, किसी को माफ़ नहीं करता
Je mpaka ujue hicho kihindi hapo juu kuweza kukiandika ?
Haya ndio nini tena wee jamaa wee?
| Yeh andha kanoon hai | Law is blind |
| Jaane kahan daga de de | It can cheat you anywhere |
| Jaane kise saza de de | It can punish anyone |
| Saath na de kamzoron ka | It doesn't stand on the side of the weak |
| Yeh saathi hai choron ka | It's the companion of the robbers |
| Baaton aur daleelon ka | It belongs to words and arguments |
| Yeh hai khel vakeelon ka | It's a game of lawyers |
| Yeh insaaf nahi karta | It doesn't give justice |
| Kisi ko maaf nahi karta | It doesn't forgive anyone |
| Maaf isse har khoon hai | It can commit any number of murders |
Hauna hoja wewe naona unahangaika tu.
Yeh andha kanoon hai Law is blind Jaane kahan daga de de It can cheat you anywhere Jaane kise saza de de It can punish anyone Saath na de kamzoron ka It doesn't stand on the side of the weak Yeh saathi hai choron ka It's the companion of the robbers Baaton aur daleelon ka It belongs to words and arguments Yeh hai khel vakeelon ka It's a game of lawyers Yeh insaaf nahi karta It doesn't give justice Kisi ko maaf nahi karta It doesn't forgive anyone Maaf isse har khoon hai It can commit any number of murders
Rais Magufuli amefanya mambo makubwa mazuri kwa muda mfupi wa utawala wake.Hili swali ulipaswa kuniluza mimi na sio kuwapa lawama watu wengine wasiohusika
Utafiti umefanyika Magufuli anakubalika kwa zaidi ya 90% Ccm inakubalika kwa 70% Hii unamaanisha kuwa Rais Magufuli kwa uchapakazi wake amevuta watu wengi sana kujiunga na Ccm.Hili swali ulipaswa kuniluza mimi na sio kuwapa lawama watu wengine wasiohusika
Mungu ampe Afya njema na baraka nyingi Rais Magufuli.Hili swali ulipaswa kuniluza mimi na sio kuwapa lawama watu wengine wasiohusika