Wakuu salaam
Moja kwa moja kwenye topic. JE wewe una ndoto za ufugaji na hauna Banda?
Je wewe ni mfanyakazi unayefanya kazi Moshi mjini au vijijini na hauna sehemu ya kufugia?
Kodisha mabanda haya kwa ufugaji wa kuku au Nguruwe( na la ng'ombe pia lipo) kwa Bei tutakayokunaliana.
Pia Kuna room ya mfanyakazi wako na geti....
TIMIZA NDOTO ZAKO ZA UFUGAJI UKIWA MOSHI BILA KUWA NA ENEO.
KARIBUNI
View attachment 2985035View attachment 2985037View attachment 2985038
Maeneo ni katikati ya Sango na Kiborilini