Mabanda ya kufuga Nguruwe yanakodishwa Moshi

Hakuna wezi?sitaki kuajri mtu mwenyewe nazama,he naweza kuongeza mengine maana naona kuna nafasi
 
Mkuu bado yapo haya mabanda?
 
Na Naweza kuongeza mengine akuna wezi. Usalama upo
Mabanda yashachukuliwa.
ILA KUNA ENEO KARIBU NA HAPO LA MITA 20 KWA 20 LINAKODISHWA KWA AJILI YA KUJENGA MABANDA. BEI NI TSH. 100,000# KWA MWEZI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…