Mabango ya Makanisa

Muite

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2013
Posts
2,971
Reaction score
6,607
Makanisa Makubwa kama RC, KKKT, Anglican, Sabato na Moravian wanekuwa wakijitambulisha katika Lugha inayoeleweka na wengi. Hata ktk Mabango yao utakuta yameandikwa Kiswahili Mfano kanisa Katoliki....., Kanisa la Kiinjilisti la Kilutheri Tayosisi.... nk.

Lakini haya makanisa mengine unakuta Bango la Kiingereza Kijijini huko ndani ambapo hata Kiswahili tu shida.


Hiyo Picha ya Bangor ni kwa Marhias nikitokea Moro
 
Aisee....
mpaka huwa nachelewa misa ya kwanza kwa kusoma jina la church
The True Holiness Divine Revelation Church of the Apostolic Succession
 
Ni afadhali hayo, kuna Yale yenye picha za watu, hua najiuliza, huyu mtumishi kwenye picha akifa ndio huduma imekufa? Au inawekwa picha nyingine?
 
Ni afadhali hayo, kuna Yale yenye picha za watu, hua najiuliza, huyu mtumishi kwenye picha akifa ndio huduma imekufa? Au inawekwa picha nyingine?
Haaahaaa. Ni kweli kabisa yapo yanayoweka Picha za Mtunishi
 
Aisee....
mpaka huwa nachelewa misa ya kwanza kwa kusoma jina la church
The True Holiness Divine Revelation Church of the Apostolic Succession
[emoji23][emoji23],na hilo jina anayeweza kulitamka ni Mchungaji wa makao makuu tu,huko mikoani kila mtu anatamka anavyojua
 
Ni afadhali hayo, kuna Yale yenye picha za watu, hua najiuliza, huyu mtumishi kwenye picha akifa ndio huduma imekufa? Au inawekwa picha nyingine?
Kwani Mlima wa Moto kwa Lwakatare hali ikoje bila mama?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…