Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Kwamba huo ndio mkataba kwa mwaka ? Kwa sabuni zote mbili?Mhasibu wa Simba Mo Extra na Sabuni kwa yale matangazo kwenye jezi wanalipa mil 400.
Duh, Simba ina viongozi wa hovyo,wanaitumia timu kibiashara ndo maana hakuna mafanikio uwanjani
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni tatu mkuuKwamba huo ndio mkataba kwa mwaka ? Kwa sabuni zote mbili?
Kwa 400m ?
Pelekeni wakaguzi huru wa nje
Mkuu serikali kukataa ule mkataba waliona mbali,walikuwa wanafanyia uhuni Simba wale wapumbavuPelekeni wakaguzi huru wa nje
Serikali imekataa mkataba upi ?Mkuu serikali kukataa ule mkataba waliona mbali,walikuwa wanafanyia uhuni Simba wale wapumbavu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mhasibu wa Simba Mo Extra na Sabuni kwa yale matangazo kwenye jezi wanalipa mil 400.
Duh, Simba ina viongozi wa hovyo,wanaitumia timu kibiashara ndo maana hakuna mafanikio uwanjani
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe unaona ndogo sio? Unadhani kujaza mabango ndio kufanya biashara? Kama ni rahisi hivyo nawe peleka.Mhasibu wa Simba Mo Extra na Sabuni kwa yale matangazo kwenye jezi wanalipa mil 400.
Duh, Simba ina viongozi wa hovyo,wanaitumia timu kibiashara ndo maana hakuna mafanikio uwanjani
Sent using Jamii Forums mobile app
Wabongo bwana taabu kwelikweli. Wewe unachotaka ni nini? Timu inasajili wachezaji, mishahara ya wachezaji inalipwa, timu haijawahi kushindwa kusafiri sababu ya kukosa nauli, timu inaingia makundi kila mwaka: Wewe unataka nini? Unadhani zaidi ya unazi, kuna faida yoyote ya maana anayoipata.Mhasibu wa Simba Mo Extra na Sabuni kwa yale matangazo kwenye jezi wanalipa mil 400.
Duh, Simba ina viongozi wa hovyo,wanaitumia timu kibiashara ndo maana hakuna mafanikio uwanjani
Sent using Jamii Forums mobile app
Njoo wewe tukupe uweke kwa bilioni sita!Mhasibu wa Simba Mo Extra na Sabuni kwa yale matangazo kwenye jezi wanalipa mil 400.
Duh, Simba ina viongozi wa hovyo,wanaitumia timu kibiashara ndo maana hakuna mafanikio uwanjani
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini atoe pesa za nje ya mkatabaMo anatoa pesa nyingi sana kwa timu yetu ya Simba ambazo ziko nje ya kwenye mkataba
Inashangaza sana,hakuna mfanyabiashara mwenye hiyo hurumaKwanini atoe pesa za nje ya mkataba
Yaani kuna mfanya biashara atoe hela awasaidie tu
Sent using Jamii Forums mobile app
yupo kifuani (main) kwenye games za caf,
yupo maeneo mawili kwenye jezi zinazovaliwa ligi kuu.....
ndio iwe 400 mkuu? kukaa kifuani jezi za caf kaweka sh ngap?
wanazuia kusajili wanachama wapya halafu wanakumbatia hao wanaongoja wakati wa uchaguzi walipiwe kadi.NBC wanatoa bei gani kudhamini ligi kuu yenye timu 16? Ni mwendawazimu pekee anaeweza kubeza udhamini wa millioni 400 kutoka AOne products.
Wanachama wote wa simba kwa mwaka wanalipia kadi jumla million 36.
Unakuta anaebeza huu udhamini hana hata uwezo wa kupata milo mitatu iliyokamilika!! Nchi yetu ina watu mapooza wengi sana,mmojawapo ni uyu mleta uzi.
ukisema ukweli wanasema wewe sio Simba ila wao wanajisahau ni machawa wakubwa.
Mo ni mmiliki wa simba hivyo tuliaMhasibu wa Simba Mo Extra na Sabuni kwa yale matangazo kwenye jezi wanalipa mil 400.
Duh, Simba ina viongozi wa hovyo,wanaitumia timu kibiashara ndo maana hakuna mafanikio uwanjani
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo walivyo,matokeo mabaya ya Simba inatokana na ujanja ujanja wa viongozi kwenye usajili na kuangalia maslahi binafsi,kwa Taasisi kubwa kama Simba kuwa na WhatsApp channel ni mafanikio kweliukisema ukweli wanasema wewe sio Simba ila wao wanajisahau ni machawa wakubwa.
Mo ni mmiliki wa simba hivyo tuliaMhasibu wa Simba Mo Extra na Sabuni kwa yale matangazo kwenye jezi wanalipa mil 400.
Duh, Simba ina viongozi wa hovyo,wanaitumia timu kibiashara ndo maana hakuna mafanikio uwanjani
Sent using Jamii Forums mobile app