Mabango yote kwenye jezi Mo analipa mil 400

Mabango yote kwenye jezi Mo analipa mil 400

NBC wanatoa bei gani kudhamini ligi kuu yenye timu 16? Ni mwendawazimu pekee anaeweza kubeza udhamini wa millioni 400 kutoka AOne products.
Wanachama wote wa simba kwa mwaka wanalipia kadi jumla million 36.
Unakuta anaebeza huu udhamini hana hata uwezo wa kupata milo mitatu iliyokamilika!! Nchi yetu ina watu mapooza wengi sana,mmojawapo ni uyu mleta uzi.
Acha upumbavu ww M BET wanalipa mabilion kukaa pale kifuani tu ila Mo 400miion alafu kaweka matangazo mpaka matakoni!

Simba ni brand kubwa , anachkitoa Mo ni kidogo sana kulingana na brand ya simba
 
Mashabiki wa Simba na Yanga hawanazisaidii timu zao
 
Mkiambiwa Simba ni kikundi Cha wajinga muelewe Sasa!, C.E.O wakati wa kikao na wabunge kule dodoma alisema bajeti ya 2023/24 ni 25B.... Jana kasema nu 15B 🤣🤣🤣🤣
 
Huko Caf timu inashiriki kwa gharama za nani? Umeshawai kutoa hela kulipia timu hata tiketi ya ndege ikashiriki Caf ?
hapa ndipo huwa mnapigwa,
simba inakusanya bilion 12, haya niambie hizo 12 zinafanya kazi gani?.....
 
Back
Top Bottom