Mabango yote kwenye jezi Mo analipa mil 400

Acha upumbavu ww M BET wanalipa mabilion kukaa pale kifuani tu ila Mo 400miion alafu kaweka matangazo mpaka matakoni!

Simba ni brand kubwa , anachkitoa Mo ni kidogo sana kulingana na brand ya simba
 
Mhasibu wa Simba Mo Extra na Sabuni kwa yale matangazo kwenye jezi wanalipa mil 400.

Duh, Simba ina viongozi wa hovyo,wanaitumia timu kibiashara ndo maana hakuna mafanikio uwanjani

Sent using Jamii Forums mobile app
Alitakiwa alipe kiasi gani na kufananisha na timu hani inayolipwa kiasi gani?
 
Mashabiki wa Simba na Yanga hawanazisaidii timu zao
 
Mkiambiwa Simba ni kikundi Cha wajinga muelewe Sasa!, C.E.O wakati wa kikao na wabunge kule dodoma alisema bajeti ya 2023/24 ni 25B.... Jana kasema nu 15B 🤣🤣🤣🤣
 
Huko Caf timu inashiriki kwa gharama za nani? Umeshawai kutoa hela kulipia timu hata tiketi ya ndege ikashiriki Caf ?
hapa ndipo huwa mnapigwa,
simba inakusanya bilion 12, haya niambie hizo 12 zinafanya kazi gani?.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…