Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,681
- 8,887
Mabasi 750 Yaendayo Haraka yanatarajiwa kuanza kufanya kazi katika barabara ya Mbagala jijini Dar es Salaam, Machi 2023.
Mradi huo ambao ni awamu ya pili unatarajiwa kuanza na mabasi 750 kutokana na wingi wa watu katika eneo hilo.
Mradi wa mwendokasi Mbagala utasaidia kusafirisha abiria 600,000 mpaka 700,000 kwa siku kupitia barabara hiyo.
Mradi huo ambao ni awamu ya pili unatarajiwa kuanza na mabasi 750 kutokana na wingi wa watu katika eneo hilo.
Mradi wa mwendokasi Mbagala utasaidia kusafirisha abiria 600,000 mpaka 700,000 kwa siku kupitia barabara hiyo.