Mystery
JF-Expert Member
- Mar 8, 2012
- 15,843
- 31,057
Toka mradi hui wa mabasi ya mwendo kasi, hivi sasa ni zaidi ya miaka 4 na hatujaona mabasi mengine mapya yakiingizwa Barabarani.
Takribani miaka 2 iliyopita tulisikia "tetesi" kuwa DART walikuwa wameagiza magari mapya, lakini yalikuwa yamezuiliwa bandarini kutokana na kudaiwa kodi!
Kwa kweli hali ilikuwa mbaya sana kwenye mabasi hayo, kwa namna ya abiria walivyokuwa "wanashonana"
Ukizingatia kipindi hiki ni cha ugonjwa hatari wa corona, kwa namna mabasi hayo yalivyokuwa yanajaza abiria wake, ilikuwa ni hatari Sana kwa usalama wa abiria hao
Tunaamini kutokana na DART kuyaingiza Barabarani hayo mabasi, basi ile hali ya kuyajaza abiria kupita kiasi, itaisha Katika kipindi kijacho
Takribani miaka 2 iliyopita tulisikia "tetesi" kuwa DART walikuwa wameagiza magari mapya, lakini yalikuwa yamezuiliwa bandarini kutokana na kudaiwa kodi!
Kwa kweli hali ilikuwa mbaya sana kwenye mabasi hayo, kwa namna ya abiria walivyokuwa "wanashonana"
Ukizingatia kipindi hiki ni cha ugonjwa hatari wa corona, kwa namna mabasi hayo yalivyokuwa yanajaza abiria wake, ilikuwa ni hatari Sana kwa usalama wa abiria hao
Tunaamini kutokana na DART kuyaingiza Barabarani hayo mabasi, basi ile hali ya kuyajaza abiria kupita kiasi, itaisha Katika kipindi kijacho