pongezi kwa mama samiaAma kweli usiku wa deni haukawii kucha....mnamo tarehe 2 January 2025 tuliambiwa mwezi machi mabasi mapya ya mwendokasi yangewasili na kumaliza adha ya usafiri kwa njia za dart. Je hua tunadanganywa na hawa viongozi tuliowateua hadi lini? Nini suluhu ya utatuzi wa kero ya usafiri wa mwendokasi??
Ama kweli usiku wa deni haukawii kucha....mnamo tarehe 2 January 2025 tuliambiwa mwezi machi mabasi mapya ya mwendokasi yangewasili na kumaliza adha ya usafiri kwa njia za dart. Je hua tunadanganywa na hawa viongozi tuliowateua hadi lini? Nini suluhu ya utatuzi wa kero ya usafiri wa mwendokasi??
Ushubwada wa nini sasa wakati jamaa anakumbushia ahad tuliyopewa, Au wewe ni mnufaika a.k.a CHAWAUshubwada tu