Mabasi matatu yaliyojaa mabomu yalipuka kwa wakati mmoja Tel Aviv, yalikuwa matupu na yamelipuka kabla ya wakati

Mabasi matatu yaliyojaa mabomu yalipuka kwa wakati mmoja Tel Aviv, yalikuwa matupu na yamelipuka kabla ya wakati

Waisrael na wapalestina wanaishi pamoja. Aslimia 20 ya raia wa Israel ni wapalestina kwa hiyo siyo rahisi kuwagundua magaidi
Kutoka Gemini

It's important to understand that you cannot reliably distinguish between Palestinians and Israelis simply by their appearance. Here's why:
  • Shared Ancestry and Region:
    • Both Palestinian and Israeli populations have lived in the same geographic region for extended periods. This has resulted in a degree of shared ancestry and, therefore, shared physical characteristics.
    • The region has also seen historical migrations and interactions with various groups, further contributing to a diverse gene pool.
  • Diverse Populations:
 
Mzayuni na propaganda zake nani alipue basi tupu? Hii ni mbinu yao kuu ya kuingia west bank hapo tayari wametengeneza njia ya kwenda west kuua wasio kuwemo
West Bank kuna vichaka vya magaidi. Wakati umefika kusafisha maficho yote ya magaidi kama ilivyokua Gaza
 
Back
Top Bottom