Mabasi mawili yagongana Mbeya uso kwa uso leo October 7

Mabasi mawili yagongana Mbeya uso kwa uso leo October 7

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,095
Reaction score
4,632
Afande Awadhi Hajji ( Mkuu wa Operesheni na Mafunzo)alikuwa anasema jana amefika Mbeya kutazama kama matayarisho ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa yanaendeles vizuri na pia kutazama suala la usalama barabarani lakini ajali imetokea kule leo.

Mabasi mawili, moja likiwa mali ya Kampuni ya Kapricon na jingine la Premier Line, yamegongana uso kwa uso katika eneo la Sae, Jijini Mbeya, leo Oktoba 7, 2024. Ajali hiyo imeleta taharuki kubwa kwa wakazi wa eneo hilo, huku jitihada za uokoaji zikiendelea.

c056cab711594753bbdee6ecb5e2e283

Kwa mujibu wa taarifa za awali, Jeshi la Zimamoto na Uokoaji limefika eneo la tukio kwa haraka na linaendelea na shughuli za kuwaokoa abiria waliokwama ndani ya mabasi hayo. Hata hivyo, hadi sasa hakuna taarifa rasmi iliyotolewa na Jeshi la Polisi kuhusu idadi ya majeruhi au vifo vinavyoweza kuwa vimetokana na ajali hiyo.

Inadaiwa kuwa mabasi hayo yalikuwa yakielekea maeneo tofauti, ambapo basi la Kapricon lilikuwa likitoka Mbeya kuelekea Tunduma, huku basi la Premier Line likielekea Mbeya kutoka Dar es Salaam. Chanzo halisi cha ajali bado hakijabainika, ingawa inaaminika kuwa mwendo kasi wa mabasi hayo huenda ulichangia.

Shughuli za uokoaji zinaendelea huku mamlaka zikitoa wito kwa madereva kuwa waangalifu zaidi barabarani ili kuepusha ajali kama hizi.Ripoti zaidi kuhusu hali ya abiria waliokuwamo zinasubiriwa kutoka kwa mamlaka husika.

PIA SOMA

- Poleni sana wote mliopata majanga kwenye ajali ya mabasi ya Premier na Kapricon
 
Weka maelezo kamili, hujaweka ni basi gani!?,unakimbilia kumtaja Afande Awadhi!?,ndo theme ya story yako!?,chanzo cha habari!?,picha?.. Sijui huwa mnawahi nini kuleta thread na taarifa kamili hamna.
 
Afande Awadhi Hajji alikuwa anasema jana amefika Mbeya kutazama kama matayarisho ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa yanaendeles vizuri na pia kutazama suala la usalama barabarani.
Lakini ajali imetokea kule leo.
Hata sijui niandike nini...🤷‍♂️
 
Afande Awadhi Hajji ( Mkuu wa Operesheni na Mafunzo)alikuwa anasema jana amefika Mbeya kutazama kama matayarisho ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa yanaendeles vizuri na pia kutazama suala la usalama barabarani.
Lakini ajali imetokea kule leo.


Mabasi mawili, moja likiwa mali ya Kampuni ya Kapricon na jingine la Premier Line, yamegongana uso kwa uso katika eneo la Sae, Jijini Mbeya, leo Oktoba 7, 2024. Ajali hiyo imeleta taharuki kubwa kwa wakazi wa eneo hilo, huku jitihada za uokoaji zikiendelea.

c056cab711594753bbdee6ecb5e2e283




Kwa mujibu wa taarifa za awali, Jeshi la Zimamoto na Uokoaji limefika eneo la tukio kwa haraka na linaendelea na shughuli za kuwaokoa abiria waliokwama ndani ya mabasi hayo. Hata hivyo, hadi sasa hakuna taarifa rasmi iliyotolewa na Jeshi la Polisi kuhusu idadi ya majeruhi au vifo vinavyoweza kuwa vimetokana na ajali hiyo.

Inadaiwa kuwa mabasi hayo yalikuwa yakielekea maeneo tofauti, ambapo basi la Kapricon lilikuwa likitoka Mbeya kuelekea Tunduma, huku basi la Premier Line likielekea Mbeya kutoka Dar es Salaam. Chanzo halisi cha ajali bado hakijabainika, ingawa inaaminika kuwa mwendo kasi wa mabasi hayo huenda ulichangia.


Shughuli za uokoaji zinaendelea huku mamlaka zikitoa wito kwa madereva kuwa waangalifu zaidi barabarani ili kuepusha ajali kama hizi.Ripoti zaidi kuhusu hali ya abiria waliokuwamo zinasubiriwa kutoka kwa mamlaka husika.
Kaprikoni hufanya safari zake kati ya mkoa wa Mbeya na Arusha wakati Premier line safari zake huwa kati ya Mbeya/Tunduma na Mwanza.
 
Inadaiwa kuwa mabasi hayo yalikuwa yakielekea maeneo tofauti, ambapo basi la Kapricon lilikuwa likitoka Mbeya kuelekea Tunduma, huku basi la Premier Line likielekea Mbeya kutoka Dar es Salaam.

Sasa haya mabasi yamegongana wapi?

Mbeya kwenda Tunduma na Dar kwenda Mbeya, mbona kama hakuna common point?

Au yamegongana Mbeya mjini kati ya Meta na Stendi Kuu?
 
Binafsi nilicho shukuru nikwamba hakuna alie poteza maisha.
Tuwaombee majeruhi ndugu zetu wapate Afya njema waendelee namajukumu yao ya kidunia.
 
Afande Awadhi Hajji ( Mkuu wa Operesheni na Mafunzo)alikuwa anasema jana amefika Mbeya kutazama kama matayarisho ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa yanaendeles vizuri na pia kutazama suala la usalama barabarani lakini ajali imetokea kule leo.

Mabasi mawili, moja likiwa mali ya Kampuni ya Kapricon na jingine la Premier Line, yamegongana uso kwa uso katika eneo la Sae, Jijini Mbeya, leo Oktoba 7, 2024. Ajali hiyo imeleta taharuki kubwa kwa wakazi wa eneo hilo, huku jitihada za uokoaji zikiendelea.

c056cab711594753bbdee6ecb5e2e283

Kwa mujibu wa taarifa za awali, Jeshi la Zimamoto na Uokoaji limefika eneo la tukio kwa haraka na linaendelea na shughuli za kuwaokoa abiria waliokwama ndani ya mabasi hayo. Hata hivyo, hadi sasa hakuna taarifa rasmi iliyotolewa na Jeshi la Polisi kuhusu idadi ya majeruhi au vifo vinavyoweza kuwa vimetokana na ajali hiyo.

Inadaiwa kuwa mabasi hayo yalikuwa yakielekea maeneo tofauti, ambapo basi la Kapricon lilikuwa likitoka Mbeya kuelekea Tunduma, huku basi la Premier Line likielekea Mbeya kutoka Dar es Salaam. Chanzo halisi cha ajali bado hakijabainika, ingawa inaaminika kuwa mwendo kasi wa mabasi hayo huenda ulichangia.

Shughuli za uokoaji zinaendelea huku mamlaka zikitoa wito kwa madereva kuwa waangalifu zaidi barabarani ili kuepusha ajali kama hizi.Ripoti zaidi kuhusu hali ya abiria waliokuwamo zinasubiriwa kutoka kwa mamlaka husika.

PIA SOMA
- Poleni sana wote mliopata majanga kwenye ajali ya mabasi ya Premier na Kapricon
Ahsante kwa taarifa kaka Andrew Nyerere
 
Back
Top Bottom