Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Wote ni wale wale, hii kampuni inahusika 100%Huu ndio Ukweli wa hali ya mambo kwa sasa, Hakuna mtekaji anayeweza kujificha, Ni suala la Polisi tu kufanya kazi yao ama Waamue wenyewe kuwalinda.
Pia soma: Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
Baada ya Katibu Mkuu wa Chadema kutoa taarifa ya kutekwa kwa Ally Kibao, Kwa mwendo wa Haraka sana Msemaji wa Polisi aliita Wanahabari na kufafanua, Lakini inashangaza baada ya Mzee huyu Kuuawa Msemaji huyo bado mpaka sasa yuko kimya, Hata hivyo bado tunaamini atajitokeza na kutueleza analolijua.
Subira yavuta heri.
Lissu alipigwa risasi camera zikiwepo na polisi mpk leo uchunguzi unaendeleaAbood ina Camera kila kona 😂😂😂
Controller yuko Shekilango anasoma kinachoendelea Barabara nzima
Nimeshuhudia Kuna maeneo huruhusiwi kupiga PICHA.Watanzania
kama kuna muda wa wananchi kugomea baadhi ya taratibu basi ni kipindi hiki. Mtu kaka matwa kwenye basi anakutawa marehemu ufukweni. jeshi linakata kabisa hata tukio la kumkata. Alafu watu waendelee kutii kwamba kuna sehemu huruhusiwi kurekodi.Nimeshuhudia Kuna maeneo huruhusiwi kupiga PICHA.
Wengine tunajua Maumivu yanafananaje na tumeyapitia pia
Mkuu LAX ulitaka kusemaje MKUU
Kweli,kama kuna muda wa wananchi kugomea baadhi ya taratibu basi ni kipindi hiki. Mtu kaka matwa kwenye basi anakutawa marehemu ufukweni. jeshi linakata kabisa hata tukio la kumkata. Alafu watu waendelee kutii kwamba kuna sehemu huruhusiwi kurekodi.
Watanzania kwa ujumla wao wataamua wenyewe kila mtu kwa muda wake
Kweli,
mkuu alaf Kuna wanao SEMA chadema wanaua watu WAO Vs wanao SEMA serikali ya mama Samia ndio engineering
Which is which.
Ngoja tusubir kunakaribia kukucha (mapambazuko)
Huu ndio Ukweli wa hali ya mambo kwa sasa, Hakuna mtekaji anayeweza kujificha, Ni suala la Polisi tu kufanya kazi yao ama Waamue wenyewe kuwalinda.
Pia soma: Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
Baada ya Katibu Mkuu wa Chadema kutoa taarifa ya kutekwa kwa Ally Kibao, Kwa mwendo wa Haraka sana Msemaji wa Polisi aliita Wanahabari na kufafanua, Lakini inashangaza baada ya Mzee huyu Kuuawa Msemaji huyo bado mpaka sasa yuko kimya, Hata hivyo bado tunaamini atajitokeza na kutueleza analolijua.
Subira yavuta heri.
Mmmm umewastua....wataenda kuziteka hizo csmera waweke mpya.....kosa kubwaas
Kutawaliwa na mwanamke ni laana.
NakaziaUbaya Utalipwa
Kwa sababu Magufuli alikuwa dhalim.Lisu na Mbowe kwa nini mlishangilia kifo cha Magufuli?
Yule alikuwa muhuni kama weweLisu na Mbowe kwa nini mlishangilia kifo cha Magufuli?
Naamini hazikuwepo kumbuka kunammoja alikuwa ndani ya gari usikute alihakikisha kilakitu kwenye gari hakipo kinachoitwa kameraMwenye ufahamu juu ya hili la ccvt camera kwenye mabasi ya Tashriff atujuze. Italeta mwanga kama zilikuwepo zikazimwa au hazipo kabisa.
Mpumbavu wewe. KamfufueLisu na Mbowe kwa nini mlishangilia kifo cha Magufuli?
Hakuna kipya hapo nawaapia ,na haitakaa iwe mpya,,,Kwa Police CCM walivyo usitegemee jipya ktk hilii mkuu..
Kuwa tu makini maana ht ww haupo salamaa km n mwanaharakatii
Kwa sababu alikua mtesi wao!! Kwan mtesi wako Mungu aki deal naye utaacha kushukuru Mungu na awali ulimwambia Mungu akutetee na watesi wako?Lisu na Mbowe kwa nini mlishangilia kifo cha Magufuli?
Mkuu kwani umesahau kuwa kujua siri ni hatari?Mbona hakuna abiria aliyekuwa ndani ya hilo bus aliyesema chochote mpaka sasa?!
Camara sio kigezo. Watu hao kama kusudia kufanya wangaliondoa kamera wakaondoka nazo. Lissu ziko wapi?Huu ndio Ukweli wa hali ya mambo kwa sasa, Hakuna mtekaji anayeweza kujificha, Ni suala la Polisi tu kufanya kazi yao ama Waamue wenyewe kuwalinda.
Pia soma: Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
Baada ya Katibu Mkuu wa Chadema kutoa taarifa ya kutekwa kwa Ally Kibao, Kwa mwendo wa Haraka sana Msemaji wa Polisi aliita Wanahabari na kufafanua, Lakini inashangaza baada ya Mzee huyu Kuuawa Msemaji huyo bado mpaka sasa yuko kimya, Hata hivyo bado tunaamini atajitokeza na kutueleza analolijua.
Subira yavuta heri.