Mabasi mkoni Mtwara yaanza kushusha bei leo toka 26,000/= mpaka 18,000==

Mabasi mkoni Mtwara yaanza kushusha bei leo toka 26,000/= mpaka 18,000==

Dupe

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2013
Posts
1,668
Reaction score
811
Katika hali isiyokuwa ga kawaida mkoani Mtwara leo basi za Machinga zimeshusha bei kutoka 26,000 mpaka 18,000, hizi basi zilikuwa ni High Class kabisa kwa Mtwara to Dar High Class ni 26,000 na Class ya mwisho ni 18,000 lakini basi hizi za machinga zimeshusha bei zikiwa katika hali ileile ya ubora na mwisho jana nilipanda kwa 26,000.

Maning Nice pia kashusha bei toka 22,000 mpaka 18,000 hii inaashiria nn?
 
Kuna kitu wanafurahia, kwani bei za awali ndizo nauli halali za sumatra. Google utaona
 
Back
Top Bottom