Abood mwenye mabus pia ni mbunge wa Jimbo la morogoro mjini.Abood mwenye mabasi sio Abood mbunge hao ni watu wawili tofauti japo ni ndugu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Abood mwenye mabus pia ni mbunge wa Jimbo la morogoro mjini.Abood mwenye mabasi sio Abood mbunge hao ni watu wawili tofauti japo ni ndugu
Duhhhhh....I think earlier this year the old man was pronounced dead
Kuna namna mbili kwenda Kampala ukitokea Kahama.MBONA ABOOD ANA SAFARI MPKA BUKOBA
TRIP ANAYOANZA NI YA KAMPALA TU HYO KARAGWE NI NJIANI KUPITA TU
Bado Abood anamiliki mabasi?Nimesikia tetesi za kampuni ya mabasi ya Abood kuanzisha safari mpya za mkoa wa Kagera.
Naomba mwenye taarifa juu ya tetesi hizi anifahamishe.
Safari zitaanza lini?
Itabidi waanze kubeba madumu ya dizeli kwenye buti. Maana hakuna namna nyingine.Ile Tabia Ya Kuishiwa Mafuta Njiani Itakuwaje
Mambo ya kipuuzi sanaItabidi waanze kubeba madumu ya dizeli kwenye buti. Maana hakuna namna nyingine.
Kuna siku nilipanda basi lao la Mbeya. Tulipofika Doma, mafuta yakakata. Tulilazimika kusubiri mpaka gari yao itoke Moro ituletee, ndiyo tukaondoka.
Daa!Itabidi waanze kubeba madumu ya dizeli kwenye buti. Maana hakuna namna nyingine.
Kuna siku nilipanda basi lao la Mbeya. Tulipofika Doma, mafuta yakakata. Tulilazimika kusubiri mpaka gari yao itoke Moro ituletee, ndiyo tukaondoka.
Hii kitu nilikutana nayo wakati flan naenda Tabora na bus la Abood.Hizi gari si ndio mkifika morogoro mnapelekwa gereji kwao na nyinyi mnaenda fanyiwa service
Kwa kauli na maelezo haya, naamini atajirekebisha.Hii kitu nilikutana nayo wakati flan naenda Tabora na bus la Abood.
hili jambo ndo lilifanya niache kupanda hizi gari.Hizi gari si ndio mkifika morogoro mnapelekwa gereji kwao na nyinyi mnaenda fanyiwa service
Ndio huyohuyo mmoja,hata Viwanda anavyo japo havifanyikazi kwasasa.Abood mwenye mabasi sio Abood mbunge hao ni watu wawili tofauti japo ni ndugu
Unaishi wapi wewe mzee nije nikutoe usingizini.Abood mwenye mabasi sio Abood mbunge hao ni watu wawili tofauti japo ni ndugu
Anamiliki ndege za serikaliBado Abood anamiliki mabasi?
Atuletee tu tunapata shida na gari mbovu za city boy...mi niko omurushaka naisubiri kwa hamuAtakuwa amefanya vyema sana kama anaongeza route ya kutokea karagwe kwenda Dar au popote TZ mpaka Uganda maana tayari anayo route ya Bukoba - Dar. Hii itasaidia sana huko Karagwe ambako kwasasa kuna mabasi ya Arusha to Karagwe, Mwanza to Karagwe na Musoma to Karagwe
Mshauri safari ya Kampala au ya Karagwe, basi mojawapo lipite Benako Ngara.MBONA ABOOD ANA SAFARI MPKA BUKOBA
TRIP ANAYOANZA NI YA KAMPALA TU HYO KARAGWE NI NJIANI KUPITA TU
Unaongea hili upate sifa au una uhakika na unachokiongea?? Mimi nimelelewa na Mzee Mohammed Abood na kucheza pamoja na Abdulazeez Abood na mdogo wetu alikuwa Majid..Kazi yangu ya kwanza nilifanya Abood bus soon after kumaliza form four mwaka 96..sasa ngoja nikwambie ambayo huyajui..Abood mwenye mabasi sio Abood mbunge hao ni watu wawili tofauti japo ni ndugu