Mabasi ya ccm yamewakera watanzania wameona ni kufuru

Mabasi ya ccm yamewakera watanzania wameona ni kufuru

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Yale mabasi ya CCM ya rangi ya kijani yamewakera mno watanzania kwani wao wametafsiri ni kufru na upotevu wa Hela zao (watanzania wanaamini Ile ni Kodi yao na sio vyanzo halali vya ccm) kiufupi maskini wa nchi wanaona mmewaringishia Tena January hii wakati wao hawana ada za watoto wao.
 
Yale mabasi ya CCM ya rangi ya kijani yamewakera mno watanzania kwani wao wametafsiri ni kufru na upotevu wa Hela zao (watanzania wanaamini Ile ni Kodi yao na sio vyanzo halali vya ccm) kiufupi maskini wa nchi wanaona mmewaringishia Tena January hii wakati wao hawana ada za watoto wao.
Ni kodi zetu?
 
Ruzuku ya CCM na mapato ya viwanja vya mpira walivyopora haviwezi kuendesha chama Chao na kununua mabasi hayo ,yale yale ya V8 za Polepole na Magu.
Hizi fedha zinatoka kule kule zinapotokea wanopewa viongozi wa dini na makanisa.
 
Ikumbukwe hii empire ya ccm aliyo ijenga jina ni magufuli. Ikumbukwe watz huwa tunachoka ikumbukwe 2015.

Kama sio Mungu ccm ilikua iende bahati nzuri akaja mchapakazi watz wakatulia tena now mmeanza yale masuala yale yale ya embezzlement public funds.

Hii kitu msizani watz hawaoni, msizanie hata wale walio apia kulinda na kupambania katiba na wananchi hawaoni mnachokifanya.

Hiili mda unaesabika tutachoka one day.
 
Ruzuku ya CCM na mapato ya viwanja vya mpira walivyopora haviwezi kuendesha chama Chao na kununua mabasi hayo ,yale yale ya V8 za Polepole na Magu.
Hizi fedha zinatoka kule kule zinapotokea wanopewa viongozi wa dini na makanisa.
Mimi siyo mwana CCM, lakini, huli bila ushahidi ni umbeya kama umbea mwingine..!!
 
Back
Top Bottom