Hakuna hotel chafu kuliko Liverpool ya Mombo wasafiri wa Dar - Arusha tuna taabu.
wannaiudhi hawanaga biya pale:eek2:
wewe unachiki binafisi na huyu mjasiriamali, dar express bado yuko juu sana na huduma zao ni nzuri sana, hoteli yao ni chafu kivipi?
Haya ni majungu vinginevyo njoo na vielelezo vinaonyesha kwamba wanatenda hayo uliyo yasema, kwa tanzania nzima huyu jamaa ndo ana mabasi standard wewe unazungumzia summry chesesi za malaori?
wannaiudhi hawanaga biya pale:eek2:
Kulikoni mabasi haya siku hizi? huduma zimekuwa mbovu hawajali muda, kauli mbaya kwa wateja, hoteli yao pale korogwe imekuwa chafu, ofisi zao chafu basi tabu tupu.... SHABIBY, GREEN STAR, SUMRY tuokoeni ROUTE ya DAR ARUSHA
wannaiudhi hawanaga biya pale:eek2:
Kulikoni mabasi haya siku hizi? huduma zimekuwa mbovu hawajali muda, kauli mbaya kwa wateja, hoteli yao pale korogwe imekuwa chafu, ofisi zao chafu basi tabu tupu.... SHABIBY, GREEN STAR, SUMRY tuokoeni ROUTE ya DAR ARUSHA
Ni kweli Dar Express wamebweteka na kujisahau ila hayo mabasi uliyotaja hapo kama mbadala siyo kabisa
Kilimanjaro.. Mtei.. Metro
Hivi ni mabasi gani ambayo ni mazuri na yenye sifa za usalama ya kupanda route ya Arusha-Dar?Hivi Royal coach bado wana-operate jamani? was my favourite but nina muda sijaenda pande hiyo
Hivi ni mabasi gani ambayo ni mazuri na yenye sifa za usalama ya kupanda route ya Arusha-Dar?
Hivi ni mabasi gani ambayo ni mazuri na yenye sifa za usalama ya kupanda route ya Arusha-Dar?
pia ndio kampuni pekee yenye mabasi aina ya MERCEDES Benz, ghali kuliko Scania na Yutong aka mchina.Kama lugha ni mbaya naamini watajisahihisha, kwa upande mwingine hii ndio kampuni pekee inayofunga tairi zinazotambuliwa kimataifa yaani Bridgestone na Michelin. Hizo nyingine ni Mchina, you can go and prove.
Royal coach ndo chaguo sahihi kama bado wana operate. Ni salama sana, yaani unalala tu bila wasiwasi wo wote, huduma A. Shida ni kwamba usiwe na haraka kwani utawachukia kupita maelezo manake mwendo wao ni wa jongoo kabisaa. Nauli yao pia ilikuwa juu sana by then (mara mbili ya zile za kawaida). Binafsi nilikuwa nawapenda sana kwavile sipendi kabisa mabus yanayokimbia hadi roho inakuwa juu juu.
Kulikoni mabasi haya siku hizi? huduma zimekuwa mbovu hawajali muda, kauli mbaya kwa wateja, hoteli yao pale korogwe imekuwa chafu, ofisi zao chafu basi tabu tupu.... SHABIBY, GREEN STAR, SUMRY tuokoeni ROUTE ya DAR ARUSHA