Una maana ni Kilimanjaro express ama lile shirika la ndege la wadachi? Nitoe tongo tongo hapo....Hawa jamaa wanafanyia biashara jina tu, ila kimsingi mabasi yao mengi yamechoka sana. Nakushauri uanze kusafiria KLM express, hutajutia!
Wahudumu wao wenyewe wanaringa
Nilishaacha kupanda magari yao.
Kitu fly 540(Ngorika) na KLM.
tulitoka Arusha na Benz ikakata mafuta kimara mwisho ! Mhudumu anatubania soda na pipi !hayo mabasi siku hizi yamechoka sana,,, ukipanda darexp. Labda upande zile benz ambzo ni mpya, na nauli yake ni 30,000,,,lakini hayo mengine ya nauli ya 28,000 hayafai kabisa,, yamechoka sana,,, kuna siku tulikutana na gari nne along the way from dar to ars za hii kampuni zikiwa na shida njiani,, can u imagine 4 buses of the same company,having problems the same day???,,wamechoka kwakweli,, i would advice u, kwa kusafiri dar-ars, use kilimanjaro exp, mtei au hata metro nae ana gari yake moja nzuri sana,,,incase u choose dar exp. Mek sure u go 4 the benz,, na sio irizar wana marcopolo
tulitoka Arusha na Benz ikakata mafuta kimara mwisho ! Mhudumu anatubania soda na pipi !
Hawa jamaa wanafanyia biashara jina tu, ila kimsingi mabasi yao mengi yamechoka sana. Nakushauri uanze kusafiria KLM express, hutajutia!
hamia Chakito Long way Arusha masaa 6 tu kwa sisi makabwela ila kama wewe una ka element cha kifisadi basi panda Metro ni mwisho wa kazi!
Chakito Longway Bus ya ukweli aisee kwa sisi makabwela.hamia Chakito Long way Arusha masaa 6 tu kwa sisi makabwela ila kama wewe una ka element cha kifisadi basi panda Metro ni mwisho wa kazi!
Chakito Longway Bus ya ukweli aisee kwa sisi makabwela.