Minjingu Jingu
JF-Expert Member
- Nov 2, 2023
- 1,072
- 2,384
Haya mabasi yamekuwa yakilalamikiwa kuwa kuna uhuni mwingi unafanyika kwa abiria. Unapoenda kukata ticket wanakukatia bus jipya kwa nauli kubwa.
Ukija kupanda unakutana na ngarangara na ukiwauliza wanakuambia hilo ndo bus lililopo so uamue kusuka ama kunyoa.sasa hapo kama una dread unaona bora usuke tu maana umetoka mbali nazo.
Hapa bus tyre imeisha upepo.ikajazwa ikaisha tena. Halafu spare kumbe nalo bovu lipo tu kama pambo. Kuanza kwenyewe safari badala ya saa 2 kama wanavyosema mnaanza saa tatu kasoro.
Jamaa ni wahuni basi kama daladala. Linasimama kila kituo kuokoteza abiria.humo ndani sasa dereva amefanya ni disco.music anafungulia kama wote.ukimwambia apunguze sauti anakuwa mkali.
Gari ipo Singida tyre la mbele bovu na spare yake nayo bovu.
Ukija kupanda unakutana na ngarangara na ukiwauliza wanakuambia hilo ndo bus lililopo so uamue kusuka ama kunyoa.sasa hapo kama una dread unaona bora usuke tu maana umetoka mbali nazo.
Hapa bus tyre imeisha upepo.ikajazwa ikaisha tena. Halafu spare kumbe nalo bovu lipo tu kama pambo. Kuanza kwenyewe safari badala ya saa 2 kama wanavyosema mnaanza saa tatu kasoro.
Jamaa ni wahuni basi kama daladala. Linasimama kila kituo kuokoteza abiria.humo ndani sasa dereva amefanya ni disco.music anafungulia kama wote.ukimwambia apunguze sauti anakuwa mkali.
Gari ipo Singida tyre la mbele bovu na spare yake nayo bovu.