Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
ScandanaNgorika Zipo Hapo Moshi Mjini Zimelala Usingizi Wa Pono Yaani Hatari
Hood Sasa Hivi Nyingi Zinabeba Staff Wa Alliance One Kupeleka Kiwandani
Watu Wanasema Zipo Nyingi Yard Zimelala
Niliongea na dereva wabasi hilo akaniambia anasubiri abiria.Ipo Mizani Tu Nimepita Mwezi Uliopita Toka Kili Na BM Nikaliona
Morogoro Naona Chache Zinakwenda Alliance One
BM coach.Hivi sasa hivi, ni bus gani nzuri luxury ya kwenda Moshi/Arusha?
Source of income?Mi nikiwa na 23yrs nilinunua costa mwaka 2003, nauli mwenge mbagala tsh.150/= hesabu elfu 30.
Lipo zuri sana Royal class linaanzia Nkasi kwenda Moshi kupitia Arusha.BM coach.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Source of income?
Huko waliko wafe tena. Kuna siku wametutelekeza shell nikitoka Mbeya to Arusha. Konda na dereva wakakimbia hatukuwoana tena. Nasema wasifufuke wafe mara 100 huko walikoJamani mabus ya Hood yamefia wapi? Hood was the only competitor ya Abood and was going faster na pia was sharp wamefia wap? Abood mmewafanya nn?
Biashara ya mazao mkuuSource of income?
Shukrani, ila nahitaji kuanzia DSM - Moshi.Lipo zuri sana Royal class linaanzia Nkasi kwenda Moshi kupitia Arusha.
Ungesema la kutoka wapi nisinge andika.Shukrani, ila nahitaji kuanzia DSM - Moshi.
Mnajua nini? Biashara za aina yote huwa zinazaliwa na kufa. Biashara ya mabasi inakuwa rahisi ku-note mara inapokufa kwa sababu ni kitu ambacho kinatembea sehemu nyingi hivyo ni rahsi kuonekana na watu wengi. Ukichunguza vitu kama maduka, bar na hata ukulima utakuta kuna nyingi tu zinazoanza na kufa kila mwaka.Competition ni kubwa biashara imebadilika inaendana na fashion kama jeans,kitu mchina
Kuna basi moja la aina hiyo la Kampuni ya Satelite, nilikuwa nalipanda sana miaka ya 1980's. Lilikuwa linatokea Arusha kwenda Tanga kama sijakosea!!Baadhi ya yale mabasi yalikuwaga na shape ya mkate nakumbuka
Komenti Bora kabisa, ubarikiwe sana .Everything you see in this world is temporary.
Bila kumsahau KING CROSS ❌ IRINGA TO DODOMATawaqal
Zainabu
Masiah
M Sleeping Coach
Matema Beach
Scandinavia Express
Kiswele
Executive
Hood ltd
Safina
Embakassy
Lupelo
Sayuni
Wajana kiba Ngorika, Ndenjela, Mohammed Trans, Ilasi etc
Juzi kashusha golden dragon kama nne, bado yupoDar express tu naona anataka kuachana na biashara hizi
Ova
NAKAZIA HAPA.Everything you see in this world is temporary.
Toka mkewe alipofariki kampuni ikaanza kuyumba....alipokuja kufariki mwanae Ben a.k.a kihondi.....ndio basi tena.Dar express tu naona anataka kuachana na biashara hizi
Ova
Acha kukuza scania kiivyo mfano huyo katarama amenunua scania gemilan kwa million 800 wakati mchina golden dragon unanunua kwa 450m hapo kuna mabasi manne kweli?Mchina anajua biashara ya mabus, ukitaka scania standard ya Mchina huna bilioni moja haujanunua scania New model ambayo kwa bongo hailipi.
Bei ya Scania moja unapata Mchina tano.