Mabasi ya HYUNDAI yanamuonekano mzuri sana. Vipi kuhusu ubora wake?

Mabasi ya HYUNDAI yanamuonekano mzuri sana. Vipi kuhusu ubora wake?

Kuna Yutong, Zhongtong, Higer,na Golden Dragon hawa wote.. Ndio walewale tu..wanazipenda sababu ni nafuu tofauti na Scania hasa Marcopolo body ni ghali sana.. Ni wachache wenye uwezo wa kumudu gharama..
 
hyger huyo...chinese...cheaper price..confortble but not durable...iys not hyundai
 
Mabasi yapo vzur kwa ndani siti ni comfortable ila yanatatizo la chassis kwan huwa inakatika na pia gear box cyo nzuri hayo ndyo ninayoyajua kuhusu hzo bus higer
 
Heger,Yutong basi za kichina zenye bodi za mvuto ki biashara lakini tatizo lake sio imara kwenye Difu ndio maana Matajiri wengi wa kibongo wafunga Difu za scania,....Macopollo ni gharama sana mkuu scania Macopollo 1 unanunua Yutong 2
 
Higer ziko more luxury kuliko yutong, nmepanda moja la kutoka Arusha ni la kampuni inaitwa Lim Safari's. Yako njema sana.
 
Ndugu zangu kuna mabasi ya vilabu wanayopanda wachezaji mfno Arsenal, man u,n.k,je Yale kampuni gani ni mapana marefu na mazuri sana
 
nyie ndio wale mnaosindikiza wageni mpk ndani ya basi sipendi hiyo tabia ndio maana airport hawaruhusu kusindikizana sindikizana
Wacha ubinafsi tumbili wewe kama alikuwa mgonjwa au mpenzi wake mpya asimlinde,
 
Kuna Yutong, Zhongtong, Higer,na Golden Dragon hawa wote.. Ndio walewale tu..wanazipenda sababu ni nafuu tofauti na Scania hasa Marcopolo body ni ghali sana.. Ni wachache wenye uwezo wa kumudu gharama..
Tanzania mwenye scania wanebaki wachache sana Kilimanjaro,dar express, abood amechemka sana sasa,ule mkataba wakudumu jamani scania
 
huyo sio mkorea wala sio Hyundai iyo. Mchina huyo ni mabasi aina ya Higer yanaitwa hayo. bado matajir wa bongo hawajaanza kununua mabasi toka korea kwa sababu korea anatumia left hand drive na gar zake nyingi ni left hand drive, mostly gar zake nyingi zatumika rwanda sana mkorea
Uko right mkuu.nilishawai kupanda basi linaitwa Daewoo.Dereva wa hilo basi akawa anapata shida kuendesha kwenye barabara zetu za bongo since ilikuwa left hand.ikabidi awe anatumia camera kupiga overtake badala ya sight mirror.
 
Hizo basi ni luxury sana... Na wadosi wengi wanazikimbilia cuz ni bei nafuu na linapokuja swala la fuel consumption zinanusa tu tofauti na mabasi aina nyingine kama Scania, Volvo, Benz, Isuzu, UD na Fuso.
Pia makampuni mengi yamehamia huko wateja wengi wanayapenda haya mabasi hivyo wakajikuta wanakimbizwa sokoni. Mfano Tajiri mwenye bus za Upendo alikua conservative kampuni yake ikapoteza mvuto kwa wasafiri ikabidi alete Higer kuendana na ushindani... Yutong na higer ndo habari ya mjini kwa sasa. Ni makampuni machache wenye basi za kigansta wanaendelea kufanya biashara vizuri mfano champion (wazee wa idodomia wanamiliki Scania), Taqwa UD (Nissan Diesel), Shambalai, Kisbo na city boy.
 
Natumai yatakua na ubora km da lux na thamed
 
Ndugu zangu kuna mabasi ya vilabu wanayopanda wachezaji mfno Arsenal, man u,n.k,je Yale kampuni gani ni mapana marefu na mazuri sana
Check hapo. Sijui kama bongo kuna basi za MAN.
592ad8603975c9ef136612e0d6af0818.jpg

8ba500d84b51686303726c4387f3e51a.jpg
 
Back
Top Bottom