M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
Kampuni ya Mabasi ya SUMRY iliyotamba miaka ya hivi karibuni baada ya Mheshimiwa kuteuliwa kuwa Kiranja Mkuu sasa yapo hoi baada ya KIRANJA MKUU kutoa hisa zake huko sasa kampuni inapumulia mashine (hali mbaya). Inasemekana Mkuu alienda China kuangalia uwezekano wa Kuagiza Basi za YUTONG ili afungue biashara yake binafsi katika hali ya kuandaa hela ya kampeni 2015. Nawasilisha.