Mabasi ya wanafunzi yaliyotolewa na CRDB Bank

Makbel

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2011
Posts
774
Reaction score
167
Wadau wa Elimu ule mradi wa mabasi ya wanafunzi umeishia wapi? Nakumbuka CRDB walitoa mabasi matano yenye thamani ya 500 milion ikiwa ni maalum kuwasaidia wanafunzi wa Jijini Dar es salaam kuepukana na shida ya usafiri. Je, yameenda wapi? Sasa hivi hata barabarani hayapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…