young arrogant
JF-Expert Member
- Jul 28, 2015
- 267
- 439
Comfortability ya nini wakati unapanda Temboni unashuka StopOver..
kwa Daladala boss anaangalia uimara wa Gari na Hesabu..
Ndo maana DCM mpaka leo zinafanya kazi tena Dar..
Pia Tata na Eicher ni Economy kwenye Mafuta na ndani lina ukumbi wa kutosha..
Tofauti na Coaster au Rosa Au Hizo FUSO au Nissan UD
ambazo zina Engine kubwa
kwa Daladala boss anaangalia uimara wa Gari na Hesabu..
Ndo maana DCM mpaka leo zinafanya kazi tena Dar..
Pia Tata na Eicher ni Economy kwenye Mafuta na ndani lina ukumbi wa kutosha..
Tofauti na Coaster au Rosa Au Hizo FUSO au Nissan UD
ambazo zina Engine kubwa