"Mabeberu" Marekani waanza mbinyo kwa Tanzania. Washawishi Serikali yao na Jumuiya ya Kimataifa kuanza vikwazo na kukata misaada

Uliyo yasema yote yanaweza kumalizwa na sisi wenyewe bila kungoja Beberu atupampu.
 
Gadafi alichoitendea Libya hakuna hata raisi mmoja wa marekani ameifanyia nchi yake
Mkuu watu wanathamini Uhuru kuliko mahitaji
Kuna watu mpaka Leo hawajuti pamoja na kitimtim chote
Kwani hujui hata farao aliwatendea wema baadhi ya watu?
Hata makaburi kule sauzi walifanya mengi
Hata jiwe kafanye mengi
WOTE Tatizo Lao ni kutesa baadhi ya jamii
 
Nasikia na Libya nako palikuwa kama hivyo yani maisha bomba ila tatizo hakukuwa na demokrasia ndio maana yakatokea yaliyotokea,ila nadhani Saudia Arabia kutakuwa demokrasia.
 
Unalaumu matokeo bila kujiuliza sababu.

Unalaumu matokeo bila kujiuliza sababu.
Sasa naamini umbumbumbu pia ni kipaji! Hivi ninyi hakuna siku munaonesha ufahamu? Hakuna hatua yoyote itakayoifanya CHADEMA kushinda uchaguzi wa 2020, umekwishafanyika! Hakuna mbinu ya kumfanya Lissu awe rais, kisha sepa zake! Kuna watu kila wakati ni munaandika mambo ya kujiliwaza tu!
 
Nimefurahi sana kusoma maoni yako.
 
Nasikia na Libya nako palikuwa kama hivyo yani maisha bomba ila tatizo hakukuwa na demokrasia ndio maana yakatokea yaliyotokea,ila nadhani Saudia Arabia kutakuwa demokrasia.
Hiyo demokrasia haipo hapa duniani, bali tumeaminishwa tu na wakoloni kuwa ipo.
Mfano, kwenye uhalisia wa maisha ya kisiasa, demokrasia itatokea wapi kwenye mfumo wa vyama vingi ilihali chama hiki kinapinga sera ya chama kingine??? Au chama tawala ndio chenye nguvu ya kufanya maamuzi ya mwisho ilihali vyama vya upinzani hawana nguvu ya kupinga maamuzi ya chama tawala?? Demokrasia inatoka wapi hapo!!?
 
Huyu ni katili kuliko Gaddafi, Sadam Hussein, na Albashir, kwani hao tajwa hawajawahi wafunga Watanzania wenzetu kwenye viroba na kuwatupa mtoni.
 
Lipo wazi hilo. Mabeberu huwa awafungamani ni nchi ya chama kimoja.
Tza ni nchi ya chama kimoja chenye bunge la chama kimoja
 

Jifunze kuhusu demokrasia utaelewa.usichanganye demokrasia na ukomunistu au ujamaa.Mfano tza ya Sasa ni nchi ya kikomunisti nchi ya chama kimoja na sio nchi ya kidemokrasia, yaani maamuzi ya hatma ya watz inaamuliwa na mtu mmoja. Demokrasia means hatma na maamuzi ya nchi uamuliwa na wananchi na sio mtu mmoja na vibaraka zake
 
Usiifananishe Tanzania ya sasa na China, bado hatujawafikia wale watu.

Hao investors ndio wanakuwa frustrated everyday, wanasema tu midomoni wanavutia wawekezaji lakini matendo yao yana suggest tofauti, mfano Dangote.
Madikteta wote huwa na allergies na matajiri,
 
Demokrasia means hatma na maamuzi ya nchi uamuliwa na wananchi na sio mtu mmoja na vibaraka zake
Asante kwa kunielewesha maana ya demokrasia. Bado nina swali mwaaalimu japo swali langu halihusiani na bunge la sasa hivi Tanzania .

Swali ni hili, kama maamuzi ya nchi za kidemokrasia yanafanywa na wananchi na sio mtu mmoja na vibaraka zake, sasa inakuaje kule bungeni kuna vyama vya upinzani na chama tawala, ilihali vyama vya upinzani ni wananchi na chama tawala ni wananchi??

Mbona chama tawala ndio kinafanya maamuzi ya mwisho huko bungeni hata kama wabunge wa vyama vya upinzani wamepinga hoja?? Sasa demokrasia iko wapi hapo??
 
Sijawahi kuona mtu anapelekewa chakula Cha kula Kila siku na Kama ni mbolea nipo nalima nanunua mwenyewe huko vijini nao wanalalamika hazifiki hata mbegu hivyo hivyo Sasa kwanini mtu akaombe hela ya chakula nje tena Kila mwaka huyo anayeomba ndo mvivu maana hata watoto wa mitaani wanajitafutia chakula Sasa Kama Kuna hizo hela siwapikiwe chakula hao watoto wa mitaani Mimi kweli naona ujinga tu kwenda kuomba hela za hivyo.
 
Uliyo yasema yote yanaweza kumalizwa na sisi wenyewe bila kungoja Beberu atupampu.
Of course tunaweza kuyamaliza endapo tungekua na kiongozi muungwana na muadilifu sio huyu anaefikiri nchi ni Mali yake
Kumbuka haya mambo hayajawahi kutokea katika historia ya nchi yetu
Huyu mtu kiburi sana na kiburi chake kitatupekeka pabaya sana
 
Nasikia na Libya nako palikuwa kama hivyo yani maisha bomba ila tatizo hakukuwa na demokrasia ndio maana yakatokea yaliyotokea,ila nadhani Saudia Arabia kutakuwa demokrasia.
No Libya ilikua nzuri lakini sio kama Saudi Arabia
Tatizo la Libya ilikua uonevu wa watu wa Banghazi kama vile CCM inavyotufanyia Wazanzibari dhulma wazi wazi na mauaji ya kikatili
 
Sijui hata uliishia darasa la ngapi!
Post zako kwenye huu uzi ni maujinga ujinga tu.
 
Dona kantre huna hata kiwanda Cha kutengeneza pini.
Kifuatacho ni kupunguza kazi madaktari, manesi na watu wa maabara na kuajiri waganga was kienyeji, wachawi, wabashiri na wapiga ramli.

View attachment 1626014
hivi bwana Bujibuji ni kwanini akili zenu zinawaza sana misaada?
Serikali ukisha iwekea ukusanyaji mzuri wa mapato kila kitu kinakwenda vizuri bila wasiwasi. Embu tubasirikane tuache kuwaza misaada.
 
Uwezo gani mkubwa Prof Kabuni anao? Hana hata chembe ya diplomatic idea au unadhani hapo ataingiza sheria?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…