"Mabeberu" Marekani waanza mbinyo kwa Tanzania. Washawishi Serikali yao na Jumuiya ya Kimataifa kuanza vikwazo na kukata misaada

"Mabeberu" Marekani waanza mbinyo kwa Tanzania. Washawishi Serikali yao na Jumuiya ya Kimataifa kuanza vikwazo na kukata misaada

Kama unasema siyo lazima Lissu au Mbowe awe rais mbona Magufuli na wenzake wamelazimisha kuwa viongozi hata kama wamekataliwa na wananchi ?

Au hii " siyo lazima" yako ni kwajili ya Lissu na wapinzani wengine ?
Mkuu umenikusudia mie au umekosea?maana mie sijazungumza habari za Lissu.
 
Ndio maana mkuu niliitaja Libya ambayo tunaambiwa kulikuwa na maisha mazuri tu kama hayo unayoyasema ya Saudia ila inasemwa kuwa hakukuwa na demokrasia na ndio sababu ya kuingiza nchi machafukoni.

Kama utawala upo sawa kwa watu wake basi kungekuwa hakuna watu wa kukosoa ila kama kuna mapungufu halafu unakataza watu kukosoa huoni ni tatizo?
Pamoja na maisha mazuri ya wa Libya kulikuwa na mbinyo sana wa kisiasa( binadamu unaweza kumpa kila kitu ila ukimnyima uhuru wa kisiasa umefeli human beings are political animals ).

Tukumbuke jamii ya watu wa Benghazi nchini Libya ambako machafuko yalianzia walikuwa wametengwa na kubaguliwa katika utawala wa Libya lakini pia Gaddafi wakati wa kuingia madarakani alimuua mfalme ambaye alikuwa mzaliwa wa Benghazi hivyo unaweza kuona sababu za machafuko yale
 
According to the State Department, overall U.S. bilateral assistance to Tanzania, not including food aid, totaled an estimated $426 million in FY2019 and $548 million in FY2020. The Trump Administration requested $329 million for such assistance in FY2021.

Kwa ufupi ripoti ya hali ya kisiasa nchini Tanzania toka Magufuli kuingia madarakani imewashitua wafadhili wa demokrasia na uwazi na hasa katika maswala ya ushiriki wa jamii na asasi zisizo za kiserikali.

Na utungwaji wa sheria mbalimbali kandamizi na kuhakikisha nchi inakuwa ya chama kimoja na upinzani unatoweka.

Katika kutubinya wataacha misaada inayogusa chakula tu na wanashawishi na jumuiya za kimataifa nao kutufanyia kama wao.
In summary

There are few signs that the governance trajectory in Tanzania discussed in this report is likely to change. One analyst of Tanzania sees President Magufuli and the CCM as pursuing “restorationist developmental nationalism”—a return to the sociopolitical development agenda and dominance of the CCM during the one-party state era, in which opposition parties play a limited role, if any.69 There are arguably a paucity of strong levers through which the United States and other aid donors might be able to press for a reversal of recent trends.

Targeted restrictions on aid could potentially spur constructive responses from Tanzanian authorities in some instances, but the bulk of U.S. and other foreign aid supports development goals or other U.S. policy interests that such changes might hinder. Targeted sanctions, which the United States has used in one instance, 70 also are another possible pressure tool and vehicle for signalling U.S. concerns in selected instances but are complex to administer and may have limited effect if sanctioned officials do not have personal or financial interests within U.S. jurisdictions.

The governance trends discussed in this report also could potentially warrant a change in Tanzania’s eligibility for U.S. trade

Kwa ripoti kamili https://t.co/uTUEIj29Vg?amp=1

Yakwao tu huku yamewashinda.
Wapumbavu ninyi mnaowashabikia
 
Ndio maana nikasema kama utawala wa Saudia unaongoza vizuri tu na watu wanaishi vizuri sasa hao wakosoaji wanakosoa nini hadi wengine wanauliwa?
Hilo jambo Lina utata sana
Ila ukimuuliza RAIA wa kawaida atashangaa sana
 
Tusidanganyane mambo ya marekani inapower ilikuwa wakati ule. Siku hizi Iran na North Korea wana wavimbia.

Kuna balance of power kati ya USA na China. Wazungu wakiongozwa na USA hawawezi kukubali kumuachia Mchina mwenyewe Tanzania. Itakuwa ni kumziria nguruwe shamba la mihogo. Lakini ushawishi wa Tanzania kwa Afrika hasa kusini mwa jangwa la sahara na kati wazungu hawatakubali waupoteze kwa China Kirahisi.

Sera za diplomasia yetu ya nje ni kucheza na sifa Tanzania ilizonazo ambazo huzipati kwa wengine. USA haina chake kwanza kuondoka tu kwa Trump tarajia mabadiliko makubwa ya sera za na mahusiano ya nje za USA
Wewe utakuwa ni "millenial".
Kwa tuliokuwepo timamu kipindi cha miaka ya 1970s, tunatambua uwezo wa Tanzania ya kipindi hicho na viongozi wake,pamoja na "Westerners" wa kipindi hicho. Leo hii,kwa sisi tuliokuwepo kipindi hicho,tena tukiwa na akili timamu,hatuwezi kuibeza Marekani, "western", wala hao "juche".
Kuwavimbia US hakumaanishi wao wapo juu ya US.
Laiti kama ungekuwa na akili ya kawaida ya kujua gharama ambazo US analipa kwa tukio la Hiroshima,ungejua kuwa US ana kila sababu ya kuwa kiranja wa dunia.
Kwa kuwa uwezo wako ni kucheza ngoma unayopigiwa,yaani u msukule, sitakuwekea ushahidi wa jinsi US anavyoitazama Tanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Atashangaa nini?
RAIA lazima ashangae....
Kama wewe ni RAIA halali wa nchi hio kuna kitu gani hupati mpaka kufikia kukosoa utawala
Kama kuna huduma Huna hapo sawa lakini kila kitu Kipo..... nchi haikubagui unaishi kama sultan bado tu unasema vibaya kuhusu utawala?
Anyways watu kama hao wapo kwenye jamii
Hata mtoto ambaye anafanyiwa kila kitu na wazazi wake baadhi hawaridhiki
 
Awamu hii ya Zimbabwe tutayaona kwa macho tujiandae kuishi kiuni kama Kwa Kim
 
According to the State Department, overall U.S. bilateral assistance to Tanzania, not including food aid, totaled an estimated $426 million in FY2019 and $548 million in FY2020. The Trump Administration requested $329 million for such assistance in FY2021.

Kwa ufupi ripoti ya hali ya kisiasa nchini Tanzania toka Magufuli kuingia madarakani imewashitua wafadhili wa demokrasia na uwazi na hasa katika maswala ya ushiriki wa jamii na asasi zisizo za kiserikali.

Na utungwaji wa sheria mbalimbali kandamizi na kuhakikisha nchi inakuwa ya chama kimoja na upinzani unatoweka.

Katika kutubinya wataacha misaada inayogusa chakula tu na wanashawishi na jumuiya za kimataifa nao kutufanyia kama wao.
In summary

There are few signs that the governance trajectory in Tanzania discussed in this report is likely to change. One analyst of Tanzania sees President Magufuli and the CCM as pursuing “restorationist developmental nationalism”—a return to the sociopolitical development agenda and dominance of the CCM during the one-party state era, in which opposition parties play a limited role, if any.69 There are arguably a paucity of strong levers through which the United States and other aid donors might be able to press for a reversal of recent trends.

Targeted restrictions on aid could potentially spur constructive responses from Tanzanian authorities in some instances, but the bulk of U.S. and other foreign aid supports development goals or other U.S. policy interests that such changes might hinder. Targeted sanctions, which the United States has used in one instance, 70 also are another possible pressure tool and vehicle for signalling U.S. concerns in selected instances but are complex to administer and may have limited effect if sanctioned officials do not have personal or financial interests within U.S. jurisdictions.

The governance trends discussed in this report also could potentially warrant a change in Tanzania’s eligibility for U.S. trade

Kwa ripoti kamili https://t.co/uTUEIj29Vg?amp=1
😂 😂 😂 😂 Kwanza nimeanza na kucheka yaani Tzn huwa inaicheka Kenya kumbe inapokea misaada ya misosi licha ya kuwa na ardhi ya kutosha na mvua tele? hata hiyo wafyeke sioni maana
 
Wazungu wote hasa hawa mabalozi na maafisa wao wanajua mno kiswahili, maana wengi wao kipindi cha ujana walikuja kuishi Tanzania kama vijana wa kujitolea kwa mataifa yao kuisaidia Tanzania katika sekta za Kilimo, Elimu na Afya.

Sasa kitendo cha wao leo kuitwa MABEBERU aise kitakuwa kinawauma sana... hili neno litakuja kuighalimu Tanzania saana tu.
 
RAIA lazima ashangae....
Kama wewe ni RAIA halali wa nchi hio kuna kitu gani hupati mpaka kufikia kukosoa utawala
Kama kuna huduma Huna hapo sawa lakini kila kitu Kipo..... nchi haikubagui unaishi kama sultan bado tu unasema vibaya kuhusu utawala?
Anyways watu kama hao wapo kwenye jamii
Hata mtoto ambaye anafanyiwa kila kitu na wazazi wake baadhi hawaridhiki
Ulitakiwa sasa ujue wanacholalamika ni nini?maana inawezekana kukawa na mambo yanafanyika ambayo si sawa na ndio maana kuna wakosoaji. Sasa wewe usiangalie tu kuwa wanapewa kila kitu.
 
Hakuna mfadhili wa demokrasia duniani acha ujinga yaani ntu atoke ulaya aje kukusaidia wewe kupata haki yako kwako?
Huelewi how it works,unawekewa vikwazo,mbinyo unakuwa mkali mpaka wananchi wanafeel hali ngumu ya maisha!Fikiri vitu kama madawa na vifaa tiba vinakuwa ghali au havipatikani!Wananchi lazima wataumia hivyo kuilaumu serikali yao!Kwa mazingira hayo,serikali itajirudi maana inajua wananchi hawawezi ichagua serikali inayowaletea maumivu!Baada ya hapo serikali itachukua hatua kurekebisha,na hilo ndio lengo la vikwazo!
 
Dona kantre huna hata kiwanda Cha kutengeneza pini.
Kifuatacho ni kupunguza kazi madaktari, manesi na watu wa maabara na kuajiri waganga was kienyeji, wachawi, wabashiri na wapiga ramli.

View attachment 1626014
Kitu mbadala kawaida huwa hakina uwezo wa, na wala huwa hakikusudiwi kwa namna yoyote ile, kupunguza ufanisi wa kile kilichopo sasa ambacho mbadala huo umekusudiwa au kuwekwa kwa ajili yake. Mbadala huwa unakuwepo kwa ajili ya kusaidiua tu kuongeza kasi pamoja na ufanisi wa kazi iliyokuwepo awali na si vinginevyto
 
Mikwara ya mabeberu tu hiyo hakuna lolote Dr. Magufuli songa mbele baba hawa mbwa wanao bwaka bwaka hawawezi kutuzuia kwa lolote kama alivyosema gwajima hatuhitaji mapesa yao sisi bana labda wazuie hakuna kuuza nje au kununua kitu nje hapo nitaogopa sana.
Bwaka = bweka
Hiki kiswahili si lugha rahisi
 
Ulitakiwa sasa ujue wanacholalamika ni nini?maana inawezekana kukawa na mambo yanafanyika ambayo si sawa na ndio maana kuna wakosoaji. Sasa wewe usiangalie tu kuwa wanapewa kila kitu.
Mimi nimepata bahati ya kuishi huko na nimezungumza na RAIA wengi wa huko
Hali Halisi ni wale jamaa wanaishi maisha kama ya watoto We matajiri wakubwa wa tanzania yetu
Kama kuna wakosoaji wapo wapo tu
Amini nakwambia jamaa wamamaisha mazuri sana
 
Back
Top Bottom