"Mabeberu" Marekani waanza mbinyo kwa Tanzania. Washawishi Serikali yao na Jumuiya ya Kimataifa kuanza vikwazo na kukata misaada

"Mabeberu" Marekani waanza mbinyo kwa Tanzania. Washawishi Serikali yao na Jumuiya ya Kimataifa kuanza vikwazo na kukata misaada

hivi bwana Bujibuji ni kwanini akili zenu zinawaza sana misaada?
Serikali ukisha iwekea ukusanyaji mzuri wa mapato kila kitu kinakwenda vizuri bila wasiwasi. Embu tubasirikane tuache kuwaza misaada.
Kodi inatosha nini?
Makampuni mengi yameondoka...
Biashara zinafungwa
Bado kidogo tutatafutana humuhumu
 
Magombe mpaka yaelewe ujuwe mengi yeshapigwa bakora. Wacha mabeberu yaanze kuwakemea ,halafu hawafichi wanakupa makavu.

CCM mnatupeleka kwenye janga hamuoni hata hela ya kulipana posho itaadimika,mwisho mtajitolea mwisho mtaanza kuambizana kafanye mwenyewe.
Hahahahaaaa eti "kafanye mwenyewe"
 
According to the State Department, overall U.S. bilateral assistance to Tanzania, not including food aid, totaled an estimated $426 million in FY2019 and $548 million in FY2020. The Trump Administration requested $329 million for such assistance in FY2021.

Kwa ufupi ripoti ya hali ya kisiasa nchini Tanzania toka Magufuli kuingia madarakani imewashitua wafadhili wa demokrasia na uwazi na hasa katika maswala ya ushiriki wa jamii na asasi zisizo za kiserikali.

Na utungwaji wa sheria mbalimbali kandamizi na kuhakikisha nchi inakuwa ya chama kimoja na upinzani unatoweka.

Katika kutubinya wataacha misaada inayogusa chakula tu na wanashawishi na jumuiya za kimataifa nao kutufanyia kama wao.
In summary

There are few signs that the governance trajectory in Tanzania discussed in this report is likely to change. One analyst of Tanzania sees President Magufuli and the CCM as pursuing “restorationist developmental nationalism”—a return to the sociopolitical development agenda and dominance of the CCM during the one-party state era, in which opposition parties play a limited role, if any.69 There are arguably a paucity of strong levers through which the United States and other aid donors might be able to press for a reversal of recent trends.

Targeted restrictions on aid could potentially spur constructive responses from Tanzanian authorities in some instances, but the bulk of U.S. and other foreign aid supports development goals or other U.S. policy interests that such changes might hinder. Targeted sanctions, which the United States has used in one instance, 70 also are another possible pressure tool and vehicle for signalling U.S. concerns in selected instances but are complex to administer and may have limited effect if sanctioned officials do not have personal or financial interests within U.S. jurisdictions.

The governance trends discussed in this report also could potentially warrant a change in Tanzania’s eligibility for U.S. trade

Kwa ripoti kamili https://t.co/uTUEIj29Vg?amp=1
Tanzania tunaihitaji dunia ila tunaihitaji dunia kwa misingi inayoheshimu uhuru wa nchi yetu, mila, desturi na utamaduni wetu. Kinyume na hapo tupo tayari kufunga mkanda kulinda heshima na uhuru wetu kama Taifa huru.
 
According to the State Department, overall U.S. bilateral assistance to Tanzania, not including food aid, totaled an estimated $426 million in FY2019 and $548 million in FY2020. The Trump Administration requested $329 million for such assistance in FY2021.

Kwa ufupi ripoti ya hali ya kisiasa nchini Tanzania toka Magufuli kuingia madarakani imewashitua wafadhili wa demokrasia na uwazi na hasa katika maswala ya ushiriki wa jamii na asasi zisizo za kiserikali.

Na utungwaji wa sheria mbalimbali kandamizi na kuhakikisha nchi inakuwa ya chama kimoja na upinzani unatoweka.

Katika kutubinya wataacha misaada inayogusa chakula tu na wanashawishi na jumuiya za kimataifa nao kutufanyia kama wao.
In summary

There are few signs that the governance trajectory in Tanzania discussed in this report is likely to change. One analyst of Tanzania sees President Magufuli and the CCM as pursuing “restorationist developmental nationalism”—a return to the sociopolitical development agenda and dominance of the CCM during the one-party state era, in which opposition parties play a limited role, if any.69 There are arguably a paucity of strong levers through which the United States and other aid donors might be able to press for a reversal of recent trends.

Targeted restrictions on aid could potentially spur constructive responses from Tanzanian authorities in some instances, but the bulk of U.S. and other foreign aid supports development goals or other U.S. policy interests that such changes might hinder. Targeted sanctions, which the United States has used in one instance, 70 also are another possible pressure tool and vehicle for signalling U.S. concerns in selected instances but are complex to administer and may have limited effect if sanctioned officials do not have personal or financial interests within U.S. jurisdictions.

The governance trends discussed in this report also could potentially warrant a change in Tanzania’s eligibility for U.S. trade

Kwa ripoti kamili https://t.co/uTUEIj29Vg?amp=1
Mleta thread unachokieleza wewe na uhalisia ni tofauti kabisa. Wewe hujui deep cooeraton iliyopo baina ya Tanzania na US. Kwa taarifa yako US inaitegeea sana Tanzania kuliko unavyofikiri.
 
Mleta thread unachokieleza wewe na uhalisia ni tofauti kabisa. Wewe hujui deep cooeraton iliyopo baina ya Tanzania na US. Kwa taarifa yako US inaitegeea sana Tanzania kuliko unavyofikiri.
Unamaanisha hayo matamko ya US dhidi yetu ni geresha tu?
 
Huku mitandaoni mko vizuri sana na Lissu wenu...
Nyie adhabu yenu ni kuwasubiria kwenye Sanduku la kura...
Wananchi ndio tumeamua kuchagua Chama kimoja CCM...kwanini mturazimishe kuchanganya maji na mafuta?
 
Unamaanisha hayo matamko ya US dhidi yetu ni geresha tu?
Kwa mfumo wa US itabidi uwe makini sana kwa sauti unazosikia. Kuna sauti nyingi mno na wengine mission yao ni kutoa tu sauti tofauti lakini wako United in actions. Inahitaji akili za exta miles kujua mahusiano na US yanavyofanya kazi.
 
Ukitaka kujua ushawishi wa Marekani kwa hawa do
Usiifananishe Tanzania ya sasa na China, bado hatujawafikia wale watu.

Hao investors ndio wanakuwa frustrated everyday, wanasema tu midomoni wanavutia wawekezaji lakini matendo yao yana suggest tofauti, mfano Dangote.
[/QUOT
Waulize Huawei na 5G yao baada ya Marekani kuwawekea ngumu na kushawishi dunia nzima kuwagomea.
 
Mikwara ya mabeberu tu hiyo hakuna lolote Dr. Magufuli songa mbele baba hawa mbwa wanao bwaka bwaka hawawezi kutuzuia kwa lolote kama alivyosema gwajima hatuhitaji mapesa yao sisi bana labda wazuie hakuna kuuza nje au kununua kitu nje hapo nitaogopa sana.
Jiandae mkuu,haikwepeki hii.huoni hata Wala mabalozi wa donor countries hawakuja kuzindua binge??
 
No Libya ilikua nzuri lakini sio kama Saudi Arabia
Tatizo la Libya ilikua uonevu wa watu wa Banghazi kama vile CCM inavyotufanyia Wazanzibari dhulma wazi wazi na mauaji ya kikatili
Kwahiyo mkuu bora Saudia Arabia kuna demokrasia kuliko bongo?
 
Kwa uwoga wa jinsi hii unafikiri kina Nyerere wangefanikiwa kuikomboa Africa?

Hao wanatuhitaji sisi kuliko sisi tunavyowahitaji wao...Tanzania ya leo siyo ya jana...Tunaujuzi kwenye negotiation kuliko siku nyingine zote...Subiri uone watakavyokimbizana kwenye kuwekeza ili washindane na mataifa mengine wanaovizia utajiri wa nchi yetu...Dunia imebadilika sana...Kifo cha ubeberu kinachagizwa sana na easy access to information...Leo hawawezi kutudanganya kama walivyofanya huko nyuma na baadhi ya strategies zao zimeshashindwa kutokana na uwazi na uharaka wa information flow...

Tusiandikie mate subiri uone jinsi JPM anaenda kugeuza equation ya development duniani kama alivyofanya kwenye corona
Ubeberu = Imperialism yaani capitalism iliyokomaa kwa hiyo ubeberu sio tusi ila ni mfumo.
Kingine Hizo nchi zikiamua kuchukua rasilimali zitafanya tu kwa njia yoyote ile maana utajiri wa Tanzania sidhani kama unaikaribia DRC na bado katikati ya vita wanavuna rasilimali watakavyo

Naomba usimuhusishe Nyerere katika zama hizi maana ni matusi kwa akili na heshima aliyoijengea Tanzania katika Era yake. Hiyo nguvu na influence Hatuna

Kingine siongelei kutawaliwa maana unavaa, unasoma, unasafiri na si ajabu mara nyingine unaongea lugha ambayo si asili yako. Lakini dunia ishatoka huko, kwa sasa kuna siasa ila kila mtu anaangalia faida kwa kizazi chake kibiashara.
Naweza kuandika gazeti ila kama hutoelewa hiki kidogo sidhani kama itasaidia
 
This kind of thinking is typical an African. Tunaiongelea China ya leo kama ilitokea from nowhere. Wachina wamepitia magumu kama haya ya kwetu. They had tenacity to fight their way up.
Sisi tumekubali yaishe....kwani kuna ubaya gani tukianza taratibu kuhakikisha tunasogea mbele?
China wamepambana kweli kweli kuwa superpower. US pamoja na kuipendelea Taiwan, hawajaweza kumzuia mchina. Kwanini sisi tusiweze? Kwani kila Taifa ni adui yetu? Au tunashindwa sababu ya kupenda kukariri mambo na kuona hawawezekani?
Mtawezaje kupambana kama alivyopambana mchina wakati wewe na viongozi wako vichwani mmejaza mavi?
 
Back
Top Bottom