Corticopontine
JF-Expert Member
- Sep 20, 2019
- 666
- 1,277
Hawa watu hawapendi sisi tule bata wanaamini sisi ni nyani wa kula mizizi tu wanaamini raha so Dunia wameumbiwa wao
Trump alivyotuita Choo hatukutaka kusikia ukweli wa vile moyo wake usemavyo tukamlazikisha atamke unafiki wa mdomo wetu
Vijana wajinga mbumbumbu nimewashangaa kujadili kauli za kinafiki za Mabeberu eti wamemkataza Makonda kwenda kwao jamani huu ni wendawazimu
Marekani hawatupend huwa tunalazimisha kupendwa nyani ni nyani tu akipata ndizi ananyang'anywa hawa watu tuwapinge kwa nia zao ovu
Trump alivyotuita Choo hatukutaka kusikia ukweli wa vile moyo wake usemavyo tukamlazikisha atamke unafiki wa mdomo wetu
Vijana wajinga mbumbumbu nimewashangaa kujadili kauli za kinafiki za Mabeberu eti wamemkataza Makonda kwenda kwao jamani huu ni wendawazimu
Marekani hawatupend huwa tunalazimisha kupendwa nyani ni nyani tu akipata ndizi ananyang'anywa hawa watu tuwapinge kwa nia zao ovu