Mabeberu wanaendelea kutuhujumu: Kwanini hawataki kubadilisha data za COVID19 zinazohusu nchi yetu?

Mabeberu wanaendelea kutuhujumu: Kwanini hawataki kubadilisha data za COVID19 zinazohusu nchi yetu?

Mtini

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2011
Posts
1,492
Reaction score
2,361
Baada ya usingizi kukata nikaamua kuingia kwenye mtandao maarufu wa
Coronavirus Update (Live): 6,844,705 Cases and 398,141 Deaths from COVID-19 Virus Pandemic - Worldometer unaotoa taarifa za corona kwa kila nchi. Nimestaajabu kuona wanasema Tanzania bado tuna wagonjwa 305. Nachojua ni kuwa mtandao huu huwa unabadirisha taarifa kila wanaposikia serikali ya nchi husika imetoa update. Na kama nakumbuka vizuri taarifa ya mwisho ilisema wagonjwa wamebaki 3, sasa ni kwanini hadi leo hawajabadirisha? Mbona nchi nyingine wanazifanyia update kila siku?

Je, wamegoma kutuamini, wameamua kutususa, hawatuelewi au wanatuonea wivu wanajisikia vibaya kuandika Tanzania is free from corona virus?
Screenshot_20200606-042950~2.png
 
Za kuambiwa changanya na zako...itakua wamefata huo msemo hao mabeberu
 
hizo data zisikupe TABU.
Wewe uliyepo Tanzania ndo unajua nini kinaendelea kuhusu corona hapa Tanzania..
Fanya utafiti wako mwenyewe uone kama kuna wagonjwa wengi au hamna.
Hayo mengine yatakuumiza kichwa bure.
 
Mtanzania bwana, kelele nyingi nje ndani mwenyewe unavua nguo [emoji23][emoji23] unawaita wa mtu mabeberu wakati mpaka magari ya Jeshi wanapata msaada.

Kelele nyingi, ngoja upata gonjwa la kueleweka ndio utakapo kwenda nchi za mabeberu kutibiwa.
 
Baada ya usingizi kukata nikaamua kuingia kwenye mtandao maarufu wa
Coronavirus Update (Live): 6,844,705 Cases and 398,141 Deaths from COVID-19 Virus Pandemic - Worldometer unaotoa taarifa za corona kwa kila nchi. Nimestaajabu kuona wanasema Tanzania bado tuna wagonjwa 305. Nachojua ni kuwa mtandao huu huwa unabadirisha taarifa kila wanaposikia serikali ya nchi husika imetoa update. Na kama nakumbuka vizuri taarifa ya mwisho ilisema wagonjwa wamebaki 3, sasa ni kwanini hadi leo hawajabadirisha? Mbona nchi nyingine wanazifanyia update kila siku?

Je, wamegoma kutuamini, wameamua kutususa, hawatuelewi au wanatuonea wivu wanajisikia vibaya kuandika Tanzania is free from corona virus?
View attachment 1469840

Haiwezekani nchi ndogo ki uchumi ikamaliza tatizo wakati mataifa makubwa bado yana athilika, lazima wafiche aibu.
 
Mtanzania bwana, kelele nyingi nje ndani mwenyewe unavua nguo [emoji23][emoji23] unawaita wa mtu mabeberu wakati mpaka magari ya Jeshi wanapata msaada.

Kelele nyingi, ngoja upata gonjwa la kueleweka ndio utakapo kwenda nchi za mabeberu kutibiwa.

Hayo magonjwa wanayaleta wao sasa kwa nini tusiende huko wakati ndo wameyatengeneza?
 
Baada ya usingizi kukata nikaamua kuingia kwenye mtandao maarufu wa
Coronavirus Update (Live): 6,844,705 Cases and 398,141 Deaths from COVID-19 Virus Pandemic - Worldometer unaotoa taarifa za corona kwa kila nchi. Nimestaajabu kuona wanasema Tanzania bado tuna wagonjwa 305. Nachojua ni kuwa mtandao huu huwa unabadirisha taarifa kila wanaposikia serikali ya nchi husika imetoa update. Na kama nakumbuka vizuri taarifa ya mwisho ilisema wagonjwa wamebaki 3, sasa ni kwanini hadi leo hawajabadirisha? Mbona nchi nyingine wanazifanyia update kila siku?

Je, wamegoma kutuamini, wameamua kutususa, hawatuelewi au wanatuonea wivu wanajisikia vibaya kuandika Tanzania is free from corona virus?
View attachment 1469840
ni kwa sababu serekali yetu imeshindwa kufuata instruction rahisi ya kuzingatia format ya utoaji data.....

wangapi wamepimwa
wangapi wamepatikana na maambukizi
wangapi wamekufa
wangapi wamepona

serekali haitaji hata kimoja kati ya hivyo hapo juu kwenye taarifa zake ambazo huzitoa kupitia hotuba za wanasiasa!

utawalaumu "mabeberu" kwa lipi?
 
Haiwezekani nchi ndogo ki uchumi ikamaliza tatizo wakati mataifa makubwa bado yana athilika, lazima wafiche aibu.
Inategemea na siraha walizotumia inawezekana wana uchumi mkubwa ila tumewazidi maarifa maana wao wanapambana ki biological na sisi tunatumia miracle
 
Corona tunaambiwa haipo na wala siyo tishio tena nchini huku tukitumia "rhetorics" za kuashiria ubeberu kwa nchi zenye uwazi ktki kutoa visa na vifo vipya, lkn hapo hapo fedha kutoka IMF/WB tunazihitadi mno ili kukabiliana na maambukizi ya gonjwa hili.
 
ni kwa sababu serekali yetu imeshindwa kufuata instruction rahisi ya kuzingatia format ya utoaji data.....

wangapi wamepimwa
wangapi wamepatikana na maambukizi
wangapi wamekufa
wangapi wamepona

serekali haitaji hata kimoja kati ya hivyo hapo juu kwenye taarifa zake ambazo huzitoa kupitia hotuba za wanasiasa!

utawalaumu "mabeberu" kwa lipi?
Hizo taarifa mbona tunapewa na majirani zetu wazuri.

Wanawapima madereva wa malori na wakikutwa na corona wanatoa hizo takwimu vizur tu. Sasa kama ugonjwa umeisha hao madereva wanautoa wapi?
 
Baada ya usingizi kukata nikaamua kuingia kwenye mtandao maarufu wa
Coronavirus Update (Live): 6,844,705 Cases and 398,141 Deaths from COVID-19 Virus Pandemic - Worldometer unaotoa taarifa za corona kwa kila nchi. Nimestaajabu kuona wanasema Tanzania bado tuna wagonjwa 305. Nachojua ni kuwa mtandao huu huwa unabadirisha taarifa kila wanaposikia serikali ya nchi husika imetoa update. Na kama nakumbuka vizuri taarifa ya mwisho ilisema wagonjwa wamebaki 3, sasa ni kwanini hadi leo hawajabadirisha? Mbona nchi nyingine wanazifanyia update kila siku?

Je, wamegoma kutuamini, wameamua kutususa, hawatuelewi au wanatuonea wivu wanajisikia vibaya kuandika Tanzania is free from corona virus?
View attachment 1469840
Shukuru Mungu kwakuwa wakiamua kuweka za sasa itakuwa chaos

Jr[emoji769]
 
Ugonjwa upo mimi jirani zangu ,Luna nyumba wanakaa masela hapa mitaa ya kwetu juzi wamepelekwa mwananyamala hospital hoi mbavu zinabana. Wanafanya biashara ndogondogo ufukweni mwa bahati ya hindi.Vijana sita.Sasa tunasubiri na hapo wanapokaa kama kuna mapya tena.Jilinde ndugu bado ugonjwa upo.Wenzio wanaweza kutuma ndege popote ikachukue dawa au ventilator, wewe utabaki na kujufukuza na matangawizi.Huku mkiambiwa C19 C19 C19 hakuna
 
Ugonjwa upo mimi jirani zangu ,Luna nyumba wanakaa masela hapa mitaa ya kwetu juzi wamepelekwa mwananyamala hospital hoi mbavu zinabana. Wanafanya biashara ndogondogo ufukweni mwa bahati ya hindi.Vijana sita.Sasa tunasubiri na hapo wanapokaa kama kuna mapya tena.Jilinde ndugu bado ugonjwa upo.Wenzio wanaweza kutuma ndege popote ikachukue dawa au ventilator, wewe utabaki na kujufukuza na matangawizi.Huku mkiambiwa C19 C19 C19 hakuna
Kazi tunayo!
 
Inategemea na siraha walizotumia inawezekana wana uchumi mkubwa ila tumewazidi maarifa maana wao wanapambana ki biological na sisi tunatumia miracle
Correction.. sisi tunapambana kwa kutumia iman.
Hatuna real miracles.
Wao wanaamini ktk vitu vinavyoonekana.
Incase hujui nyuma ya pazia tunatumia biology ku dela na hili swala. Ndio maana maabara zipo.
 
maana yake wametuona tz hatueleweki...mara mbuzi wana korona...mara paap wagonjwa wamebaki wabee tuu!.
 
Back
Top Bottom