Mtini
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 1,492
- 2,361
Baada ya usingizi kukata nikaamua kuingia kwenye mtandao maarufu wa
Coronavirus Update (Live): 6,844,705 Cases and 398,141 Deaths from COVID-19 Virus Pandemic - Worldometer unaotoa taarifa za corona kwa kila nchi. Nimestaajabu kuona wanasema Tanzania bado tuna wagonjwa 305. Nachojua ni kuwa mtandao huu huwa unabadirisha taarifa kila wanaposikia serikali ya nchi husika imetoa update. Na kama nakumbuka vizuri taarifa ya mwisho ilisema wagonjwa wamebaki 3, sasa ni kwanini hadi leo hawajabadirisha? Mbona nchi nyingine wanazifanyia update kila siku?
Je, wamegoma kutuamini, wameamua kutususa, hawatuelewi au wanatuonea wivu wanajisikia vibaya kuandika Tanzania is free from corona virus?
Coronavirus Update (Live): 6,844,705 Cases and 398,141 Deaths from COVID-19 Virus Pandemic - Worldometer unaotoa taarifa za corona kwa kila nchi. Nimestaajabu kuona wanasema Tanzania bado tuna wagonjwa 305. Nachojua ni kuwa mtandao huu huwa unabadirisha taarifa kila wanaposikia serikali ya nchi husika imetoa update. Na kama nakumbuka vizuri taarifa ya mwisho ilisema wagonjwa wamebaki 3, sasa ni kwanini hadi leo hawajabadirisha? Mbona nchi nyingine wanazifanyia update kila siku?
Je, wamegoma kutuamini, wameamua kutususa, hawatuelewi au wanatuonea wivu wanajisikia vibaya kuandika Tanzania is free from corona virus?