Kishimbe wa Kishimbe
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 5,566
- 5,477
NA HII NI KWELI KABISA! 😅Ugonjwa feki wa kutengenezwa wa corona haupo kwa waafrika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NA HII NI KWELI KABISA! 😅Ugonjwa feki wa kutengenezwa wa corona haupo kwa waafrika.
Chukua taadhari usiwasikilize wanasiasaCorona haipo
So hizo nchi za Africa upika data.Ugonjwa feki wa kutengenezwa wa corona haupo kwa waafrika.
Hivi kuna taarifa rasmi ya Wizara inayoonesha sasa hiv tuna wagonjwa wanne? Au ni zile porojo za kwenye majukwaa Na madhabahuni ya viongozi?Baada ya usingizi kukata nikaamua kuingia kwenye mtandao maarufu wa
Coronavirus Update (Live): 6,844,705 Cases and 398,141 Deaths from COVID-19 Virus Pandemic - Worldometer unaotoa taarifa za corona kwa kila nchi. Nimestaajabu kuona wanasema Tanzania bado tuna wagonjwa 305. Nachojua ni kuwa mtandao huu huwa unabadirisha taarifa kila wanaposikia serikali ya nchi husika imetoa update. Na kama nakumbuka vizuri taarifa ya mwisho ilisema wagonjwa wamebaki 3, sasa ni kwanini hadi leo hawajabadirisha? Mbona nchi nyingine wanazifanyia update kila siku?
Je, wamegoma kutuamini, wameamua kutususa, hawatuelewi au wanatuonea wivu wanajisikia vibaya kuandika Tanzania is free from corona virus?
View attachment 1469840
Wameona hatueleweki ndio maana wameamua kutoweka detail zetu. Tunasema corona kwetu imeisha lakini tunataka pesa za hao hao mabeberu kwa ajili yakupambana na hili gonjwa. Corona kwetu imeisha lakini mpakani namanga na holili hapatoshi. Huku tunaamini hofu ndio inaua kuliko ugonjwa wenyewe, ndio maana tumeamua kutoana hofu hata watu wakifa tusiogope tuone ni kawaida tu. Acha ukimya uwepo ili maisha yaendelee atakae kufa itakua ni changamoto za upumuaji tu na maisha yanaendelea kwa wengine.Baada ya usingizi kukata nikaamua kuingia kwenye mtandao maarufu wa
Coronavirus Update (Live): 6,844,705 Cases and 398,141 Deaths from COVID-19 Virus Pandemic - Worldometer unaotoa taarifa za corona kwa kila nchi. Nimestaajabu kuona wanasema Tanzania bado tuna wagonjwa 305. Nachojua ni kuwa mtandao huu huwa unabadirisha taarifa kila wanaposikia serikali ya nchi husika imetoa update. Na kama nakumbuka vizuri taarifa ya mwisho ilisema wagonjwa wamebaki 3, sasa ni kwanini hadi leo hawajabadirisha? Mbona nchi nyingine wanazifanyia update kila siku?
Je, wamegoma kutuamini, wameamua kutususa, hawatuelewi au wanatuonea wivu wanajisikia vibaya kuandika Tanzania is free from corona virus?
View attachment 1469840
Una maanisha wizara gani mkuu? Hii nchi imekuwa ya mtu mmoja tu, ndie mwenye mamlaka yote yakuamua nini chakusema na nini cha kufanya. Unajua kwa nini taarifa za covid-19 zinatoka kupitia nyumba za ibada? Hii maana yake ni kwamba kuna kitu hakipo sawa sasa ujumbe ukitokea sehemu hizo utaaminika kwamba ni mpango wa mungu. Amini usiamini mkuu kama taarifa za kweli zinatolewa utashtuka sana jinsi hali ilivyo, achana na hizi porojo zakuulizana kama kweli corona ipo nani ameugua/amefariki nyumbani kwenu? Kwa mfumo wa maisha ya afrika nivigumu sana kuamini nchi jirani hali ni mbaya lakini kwa jirani kuwe na usalama wakutosha kiasi hiki?Hivi kuna taarifa rasmi ya Wizara inayoonesha sasa hiv tuna wagonjwa wanne? Au ni zile porojo za kwenye majukwaa Na madhabahuni ya viongozi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikisikia hizi ngonjera kwamba mabeberu wanatuhujumu, nacheka sana,Baada ya usingizi kukata nikaamua kuingia kwenye mtandao maarufu wa
Coronavirus Update (Live): 6,844,705 Cases and 398,141 Deaths from COVID-19 Virus Pandemic - Worldometer unaotoa taarifa za corona kwa kila nchi. Nimestaajabu kuona wanasema Tanzania bado tuna wagonjwa 305. Nachojua ni kuwa mtandao huu huwa unabadirisha taarifa kila wanaposikia serikali ya nchi husika imetoa update. Na kama nakumbuka vizuri taarifa ya mwisho ilisema wagonjwa wamebaki 3, sasa ni kwanini hadi leo hawajabadirisha? Mbona nchi nyingine wanazifanyia update kila siku?
Je, wamegoma kutuamini, wameamua kutususa, hawatuelewi au wanatuonea wivu wanajisikia vibaya kuandika Tanzania is free from corona virus?
View attachment 1469840
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]maana yake wametuona tz hatueleweki...mara mbuzi wana korona...mara paap wagonjwa wamebaki wabee tuu!.
Kwani roho zetu zinashikiliwa na hao.....ule mwezi wa kufa ni wao sema mama bill gate hakuangalia vizurini kwa sababu serekali yetu imeshindwa kufuata instruction rahisi ya kuzingatia format ya utoaji data.....
wangapi wamepimwa
wangapi wamepatikana na maambukizi
wangapi wamekufa
wangapi wamepona
serekali haitaji hata kimoja kati ya hivyo hapo juu kwenye taarifa zake ambazo huzitoa kupitia hotuba za wanasiasa!
utawalaumu "mabeberu" kwa lipi?
Ungekuwa fake.. leo S.Afrika wasingekuwa na 40000+ maambukizi.Ugonjwa feki wa kutengenezwa wa corona haupo kwa waafrika.
Kwa hiyo ww ni mtaalam kuliko madkatari walio toa tahadhari?Barakoa inazuia hewa safi oksijeni ,seli (kingamwili) kufa kwa kukosa hewa.mkuu hujasoma biolojia munakwamaa sana mabalakoa yenu, tafute biashara ingine ya kufanya.