kmbwembwe
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 10,892
- 7,780
Nilimsikia Rais wetu Samia akihutubia mkutano wa kimataifa huko Quatar hivi majuzi. Alilalamika kuhusu kutokuwa na usawa wa ugawaji wa chanjo duniani.
Nikacheka kimoyoni nikasema hata Rais wetu kaingia mkenge au kaamua kushiriki hila za mabeberu kutuundia magonjwa na kisha kujidai ukarimu kutuuzia dawa au chanjo.
Wametufikisha mahali pa kugombea dawa au chanjo huku magonjwa mengine kama ilivyokuwa covid 19 yakiwa bandia. Bandia kwa vile kulikuwa na utiaji chumvi na vitisho vya athari vilivyofanyika. Tukaibiwa fedha zetu kununua makorokoro ya kila aina pia kuzuiwa lockdowns ambazo zilidhuru sana uchumi wa nchi zetu. Tanzania tushukuru ujuzi na ujasiri wa Magufuli kukataa ulaghai na kukataa lockdowns ndio maana uchumi wetu haukuathirika sana.
Samia anatakiwa kuwa mjanja asiingie kichwakichwa kwenywe ulaghai wa mabeberu. Nchi kama Cuba na Urusi waliepa kuibiwa na mabeberu kwa kutengeneza chanjo zao na vifaa vyao wenyewe huku wakielewa ugonjwa wenyewe vizuri.
Sisi chini ya JPM tulifanya kwa kiasi ila mama kuingia tu akasalimu amri baada ya haraka kutembelewa na maajenti wa ubeberu kina Tony Blair na kuwapa dili eti kuitangaza nchi yetu upya kutokana na sifa mbaya chini ya JPM kitu wala sio kweli.
Nikacheka kimoyoni nikasema hata Rais wetu kaingia mkenge au kaamua kushiriki hila za mabeberu kutuundia magonjwa na kisha kujidai ukarimu kutuuzia dawa au chanjo.
Wametufikisha mahali pa kugombea dawa au chanjo huku magonjwa mengine kama ilivyokuwa covid 19 yakiwa bandia. Bandia kwa vile kulikuwa na utiaji chumvi na vitisho vya athari vilivyofanyika. Tukaibiwa fedha zetu kununua makorokoro ya kila aina pia kuzuiwa lockdowns ambazo zilidhuru sana uchumi wa nchi zetu. Tanzania tushukuru ujuzi na ujasiri wa Magufuli kukataa ulaghai na kukataa lockdowns ndio maana uchumi wetu haukuathirika sana.
Samia anatakiwa kuwa mjanja asiingie kichwakichwa kwenywe ulaghai wa mabeberu. Nchi kama Cuba na Urusi waliepa kuibiwa na mabeberu kwa kutengeneza chanjo zao na vifaa vyao wenyewe huku wakielewa ugonjwa wenyewe vizuri.
Sisi chini ya JPM tulifanya kwa kiasi ila mama kuingia tu akasalimu amri baada ya haraka kutembelewa na maajenti wa ubeberu kina Tony Blair na kuwapa dili eti kuitangaza nchi yetu upya kutokana na sifa mbaya chini ya JPM kitu wala sio kweli.