Mabehewa 264 ya SGR ya kubeba Mizigo yawasili nchini

Mabehewa 264 ya SGR ya kubeba Mizigo yawasili nchini

Na chuo cha reli tangu mwezi uliopita wametangaza nafasi za masomo kwa madereva wa treni ni kozi fupi tu kwa kipindi cha mwaka 1 tu sifa ni kwamba uwe na ordinary diploma au FTC ya mechanical, electrical hata telecom himizeni vijana, ndugu au watoto wenu wakasome mwisho wa maombi 30 Dec kwa mengi zaidi ni humu www.tirtec.co.tz
 
Kuna mtu aliwahi hoji kwanini Hi reli isingekuwa yaelekea Zambia then DRC maana kwa njia ya huko ndo Salama kwa mizigo inayotoka Congo ,Ikiwa lengo la Reli ni kwaajili ya Kusafirisha mizigo.

Mabehewa 1400 yatakuwa na kazi gani kwa reli ya kati (kwa mizigo ya kutoka wapi kwenda wapi?)
Sema wewe ndio unahoji
Hata hiyo itajengwa
 
Hongera kwa kazi nzuri

Hapa naomba kuelezwa kitu nipo nje ya mada!

Hapo naona meli iling'oa nanga 12th November mwaka huu kuja dsm !

Je meli inatumia siku ngapi kutoka china mpaka bandari ya dar es salaam?

Pili, kabla meli haijaingia bandarini huwa inakaa anchor rage , na ni siku ngapi meli inakaa anchor rage ili iingie bandarini kufunga ghati ?


Je ni meli zote zinaingia anchor rage au zingne kama hii iliyobeba bidhaa za umma zinaingia directly?

watu wa clearing, bandarini nisaidieni nijue Mshana Jr Mzee wa kupambania Dr am 4 real PhD
secretarybird njoo ujifunze
 
@
Hongera kwa kazi nzuri

Hapa naomba kuelezwa kitu nipo nje ya mada!

Hapo naona meli iling'oa nanga 12th November mwaka huu kuja dsm !

Je meli inatumia siku ngapi kutoka china mpaka bandari ya dar es salaam?

Pili, kabla meli haijaingia bandarini huwa inakaa anchor rage , na ni siku ngapi meli inakaa anchor rage ili iingie bandarini kufunga ghati ?


Je ni meli zote zinaingia anchor rage au zingne kama hii iliyobeba bidhaa za umma zinaingia directly?

watu wa clearing, bandarini nisaidieni nijue Mshana Jr Mzee wa kupambania Dr am 4 real PhD
secretarybird njoo ujifunze
😊😊😊😊
Cc. DR HAYA LAND
 
View attachment 3184742
Shirika la Reli Tanzania - TRC linautaarifu umma kuwa mabehewa 264 ya mizigo yatakayotumika katika reli ya kiwango cha kimataifa - SGR yamewasili Bandari ya Dar es Salaam kutoka nchini China Disemba 24, 2024.

Zoezi la ushushaji kutoka kwenye Meli litakapokamilika litafuatia zoezi la majaribio ambalo litajikita katika kutembeza mabehewa hayo kwenye Reli yakiwa tupu na kisha yakiwa yamebeba mizigo. Mabehewa hayo yatakuwa yanatembea kwa kasi ya kilometa 120 kwa saa.

Majaribio hayo yatakamilika mara tu wataalamu wa Shirika la Reli wakishirikiana na wale wa mkandarasi watakaporidhika kuwa utendaji kazi wa mabehewa hayo umekidhi viwango kulingana na Mkataba.

Tarehe rasmi ya kuanza operesheni za mabehewa hayo, Shirika litauujulisha Umma.
Katika mabehewa hayo 264 yaliyowasili, 200 ni ya kubeba makasha (makontena) na mabehewa 64 ni ya kubeba mizigo isiyofungwa (loose cargoes).

Shehena hiyo ya mabehewa 264 ni sehemu ya jumla ya mabehewa 1,430 ambayo kwa mujibu wa mkataba yanatengenezwa na kampuni ya CRRC ya nchini China.

Novemba 15, 2024 Shirika liliutaarifu umma kuwa utengenezaji wa mabehewa 264 ya mizigo yatakayotumika katika reli ya kiwango cha kimataifa SGR umekamilika nchini China na Meli iliyobeba mabehewa hayo iling'oa nanga katika Bandari ya Dalian, China Novemba 12, 2024.
Yaje tu maana hii ya sasa nilituma mzigo mwanza to Dar tarehe 20 nimeambiwa mzigo wangu nitegemee tarehe 30 kwenda mbele...yanii kama Vile china ndogo 😁😁
 
Hongera kwa kazi nzuri

Hapa naomba kuelezwa kitu nipo nje ya mada!

Hapo naona meli iling'oa nanga 12th November mwaka huu kuja dsm !

Je meli inatumia siku ngapi kutoka china mpaka bandari ya dar es salaam?

Pili, kabla meli haijaingia bandarini huwa inakaa anchor rage , na ni siku ngapi meli inakaa anchor rage ili iingie bandarini kufunga ghati ?


Je ni meli zote zinaingia anchor rage au zingne kama hii iliyobeba bidhaa za umma zinaingia directly?

watu wa clearing, bandarini nisaidieni nijue Mshana Jr Mzee wa kupambania Dr am 4 real PhD
secretarybird njoo ujifunze
Nimeshatia timu
 
View attachment 3184742
Shirika la Reli Tanzania - TRC linautaarifu umma kuwa mabehewa 264 ya mizigo yatakayotumika katika reli ya kiwango cha kimataifa - SGR yamewasili Bandari ya Dar es Salaam kutoka nchini China Disemba 24, 2024.

Zoezi la ushushaji kutoka kwenye Meli litakapokamilika litafuatia zoezi la majaribio ambalo litajikita katika kutembeza mabehewa hayo kwenye Reli yakiwa tupu na kisha yakiwa yamebeba mizigo. Mabehewa hayo yatakuwa yanatembea kwa kasi ya kilometa 120 kwa saa.

Majaribio hayo yatakamilika mara tu wataalamu wa Shirika la Reli wakishirikiana na wale wa mkandarasi watakaporidhika kuwa utendaji kazi wa mabehewa hayo umekidhi viwango kulingana na Mkataba.

Tarehe rasmi ya kuanza operesheni za mabehewa hayo, Shirika litauujulisha Umma.
Katika mabehewa hayo 264 yaliyowasili, 200 ni ya kubeba makasha (makontena) na mabehewa 64 ni ya kubeba mizigo isiyofungwa (loose cargoes).

Shehena hiyo ya mabehewa 264 ni sehemu ya jumla ya mabehewa 1,430 ambayo kwa mujibu wa mkataba yanatengenezwa na kampuni ya CRRC ya nchini China.

Novemba 15, 2024 Shirika liliutaarifu umma kuwa utengenezaji wa mabehewa 264 ya mizigo yatakayotumika katika reli ya kiwango cha kimataifa SGR umekamilika nchini China na Meli iliyobeba mabehewa hayo iling'oa nanga katika Bandari ya Dalian, China Novemba 12, 2024.
Good work, good job, good,
 
Back
Top Bottom