Mabeki na magolikipa nao wakifurika kuombewa itakuwaje?

Mabeki na magolikipa nao wakifurika kuombewa itakuwaje?

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Kuna hii trend imeibuka ya wachezaji kushuka viwango (na wengine hawajawahi kuonyesha hivyo viwango) kutokana na tabia zao mbofu mbofu za nje ya uwanja halafu wanadai wamerogwa, wanakimbilia kuombewa badala ya kurudisha kwanza nidhamu ya kazi.

Itakuwaje mabeki pamoja na magolikipa nao wakidai wamerogwa wakafurika katika maombi, huu mpira wetu utakuwaje? Hatuoni kuwa tutakuwa tunakosea kumpa Mungu majukumu ya kuamua mechi?

Atukuzwe Mwenyezi Mungu ila tuwe pia na nidhamu katika kazi zetu.
 
WaTz mmejaa chuki hila ushirikina majungu dhiki umasikini umbumbumbu na kukosa akili...
Kiasi kwamba mkimuona mtu anamkimbilia Mungu mnapata shida rohoni mwenu...
Lakini pia kuona mtu anayekwenda ktk ibada au nyumba ya ibada amekosea ni dalili kwamba mmeacha kumuamini Mungu sasa mna muamini shetani waziwazi...
 
Ni nani Kaombewa....!

Msiwapaishe Wakulungwa....! Wajiitao manabii ...! Dar es Salaam hatuna historia ya kutokea nabii....!

Unaowaona hapa mjini ni wakulungwa Waganga njaa....
 
Kuna timu inawatunia mashehe,naona mijadala imekuwa mingi baada ya Ateba kuombewa via Biblia au ndo lile battle la Palestina na Wayahudi.
 
Kuna hii trend imeibuka ya watu kushuka viwango (na wengine hawajawahi kuonyesha hivyo viwango) kutokana na tabia zao mbofu mbofu za nje ya uwanja halafu wanadai wamerogwa, wanakimbilia kuombewa badala ya kurudisha kwanza nidhamu ya kazi.

Itakuwaje mabeki pamoja na magolikipa nao wakidai wamerogwa wakafurika katika maombi, huu mpira wetu utakuwaje?

Atukuzwe Mwenyezi Mungu ila tuwe pia na nidhamu katika kazi zetu.
Nisawa na, kuomba Mungu kwa jambo fulani halafu mwenyewe ni mvivu, mjinga na mpumbavu
 
Itakuwaje mabeki pamoja na magolikipa nao wakidai wamerogwa wakafurika katika maombi, huu mpira wetu utakuwaje?
Hii ni fursa ya waganga wa kienyeji kupiga hela.... wataanzisha vilinge vya maombezi kwa wachezaji 'waliorogwa' ilhali warogaji ni wao wenyewe waganga.

Malipo ya maombezi yatatumwa kwa namba ile ya apostle & prophet nanihilu.

Yajayo yana ukakasi mwingi 😂
 
Kuna hii trend imeibuka ya watu kushuka viwango (na wengine hawajawahi kuonyesha hivyo viwango) kutokana na tabia zao mbofu mbofu za nje ya uwanja halafu wanadai wamerogwa, wanakimbilia kuombewa badala ya kurudisha kwanza nidhamu ya kazi.

Itakuwaje mabeki pamoja na magolikipa nao wakidai wamerogwa wakafurika katika maombi, huu mpira wetu utakuwaje?

Atukuzwe Mwenyezi Mungu ila tuwe pia na nidhamu katika kazi zetu.
Hivi wewe mbumbumbu utapaga akili lini?
 
Kama wameamua kwenda kuombewa kwa wachungaji, hiyo ni nzuri kuliko kwenda kwa wagagana.
 
Kuna hii trend imeibuka ya watu kushuka viwango (na wengine hawajawahi kuonyesha hivyo viwango) kutokana na tabia zao mbofu mbofu za nje ya uwanja halafu wanadai wamerogwa, wanakimbilia kuombewa badala ya kurudisha kwanza nidhamu ya kazi.

Itakuwaje mabeki pamoja na magolikipa nao wakidai wamerogwa wakafurika katika maombi, huu mpira wetu utakuwaje?

Atukuzwe Mwenyezi Mungu ila tuwe pia na nidhamu katika kazi zetu.
Na mimi pia nataka kuwaondolea laana kupitia maombi maalum wale wanachama na mashabiki wote walioitwa mbumbumbu na Rage. Na katika hiyo orodha ya wahitaji wa maombi, naomba Kalpana asikose.
 
Back
Top Bottom