... yes! Ili wawe na akili kuwa kubomoa viti vya Benjamin Mkapa Stadium ni ujingaNa mashabiki nao wakaombewe
Nisawa na, kuomba Mungu kwa jambo fulani halafu mwenyewe ni mvivu, mjinga na mpumbavuKuna hii trend imeibuka ya watu kushuka viwango (na wengine hawajawahi kuonyesha hivyo viwango) kutokana na tabia zao mbofu mbofu za nje ya uwanja halafu wanadai wamerogwa, wanakimbilia kuombewa badala ya kurudisha kwanza nidhamu ya kazi.
Itakuwaje mabeki pamoja na magolikipa nao wakidai wamerogwa wakafurika katika maombi, huu mpira wetu utakuwaje?
Atukuzwe Mwenyezi Mungu ila tuwe pia na nidhamu katika kazi zetu.
Hii ni fursa ya waganga wa kienyeji kupiga hela.... wataanzisha vilinge vya maombezi kwa wachezaji 'waliorogwa' ilhali warogaji ni wao wenyewe waganga.Itakuwaje mabeki pamoja na magolikipa nao wakidai wamerogwa wakafurika katika maombi, huu mpira wetu utakuwaje?
Ili wawe na akili ya kuacha kukimbilia kunywa supu ya vibudu lazima waombewe.... yes! Ili wawe na akili kuwa kubomoa viti vya Benjamin Mkapa Stadium ni ujinga
Na dube naye kaombewa Jana katupia 3 parestina hawajapenda hili jamboKuna timu inawatunia mashehe,naona mijadala imekuwa mingi baada ya Ateba kuombewa via Biblia au ndo lile battle la Palestina na Wayahudi.
Kama huyu mleta mada aende hata Leo.Na mashabiki nao wakaombewe
Hivi wewe mbumbumbu utapaga akili lini?Kuna hii trend imeibuka ya watu kushuka viwango (na wengine hawajawahi kuonyesha hivyo viwango) kutokana na tabia zao mbofu mbofu za nje ya uwanja halafu wanadai wamerogwa, wanakimbilia kuombewa badala ya kurudisha kwanza nidhamu ya kazi.
Itakuwaje mabeki pamoja na magolikipa nao wakidai wamerogwa wakafurika katika maombi, huu mpira wetu utakuwaje?
Atukuzwe Mwenyezi Mungu ila tuwe pia na nidhamu katika kazi zetu.
Waende wa utoNa mashabiki nao wakaombewe
Na mimi pia nataka kuwaondolea laana kupitia maombi maalum wale wanachama na mashabiki wote walioitwa mbumbumbu na Rage. Na katika hiyo orodha ya wahitaji wa maombi, naomba Kalpana asikose.Kuna hii trend imeibuka ya watu kushuka viwango (na wengine hawajawahi kuonyesha hivyo viwango) kutokana na tabia zao mbofu mbofu za nje ya uwanja halafu wanadai wamerogwa, wanakimbilia kuombewa badala ya kurudisha kwanza nidhamu ya kazi.
Itakuwaje mabeki pamoja na magolikipa nao wakidai wamerogwa wakafurika katika maombi, huu mpira wetu utakuwaje?
Atukuzwe Mwenyezi Mungu ila tuwe pia na nidhamu katika kazi zetu.