Mange Kimambi kasema hivi kuhusu Sintah.
''Wadada wa mujini bwana kwa mashindano ya kijinga. Mtu unakwenda kuchukua mkopo Access bank ufungue kaduka wakati hujui hata utaulipaje eti kisa Mange alikuita mlala hoi sasa inabidi uonyeshe watu wewe sio mlala hoi. Uwiii mtaja fungwa....... Acheni kunichokoza, mnauzi my fans alafu wananiletea data mpaka za bank''.
ION. Kawatukana sana Wazaramo.
''Haya shoga tujuze ukipata mjukuu tuje kukutunza......Maana wazaramo achievement ya mtoto wa kike ni kuvunja ungo, kukata viuno,kuolewa na kuzaa basi. Ila sikutegemea ungeeleta uzaramo nchi za watu''.
Nimeamua kutoa hela zangu benki za Tz niwe na balance ya kumaintian maisha yangu tuu.
Alafu nawasihi majirani zetu wa TZ, msikubli ukabila nchi yenu. Haya mambo uaanza na kudharau kabila zingine. :disapointed:
''Wadada wa mujini bwana kwa mashindano ya kijinga. Mtu unakwenda kuchukua mkopo Access bank ufungue kaduka wakati hujui hata utaulipaje eti kisa Mange alikuita mlala hoi sasa inabidi uonyeshe watu wewe sio mlala hoi. Uwiii mtaja fungwa....... Acheni kunichokoza, mnauzi my fans alafu wananiletea data mpaka za bank''.
ION. Kawatukana sana Wazaramo.
''Haya shoga tujuze ukipata mjukuu tuje kukutunza......Maana wazaramo achievement ya mtoto wa kike ni kuvunja ungo, kukata viuno,kuolewa na kuzaa basi. Ila sikutegemea ungeeleta uzaramo nchi za watu''.
Nimeamua kutoa hela zangu benki za Tz niwe na balance ya kumaintian maisha yangu tuu.
Alafu nawasihi majirani zetu wa TZ, msikubli ukabila nchi yenu. Haya mambo uaanza na kudharau kabila zingine. :disapointed: