kama ni kweli chadema wajihadhari na "mazagazaga ya kisiasa" wengine ni mashushushu tu.
Mabere Marando anatarajia kujiunga rasmi CHADEMA akitokea NCCR Mageuzi
chanzo changu ni watu walioko karibu naye na kuwa atatangaza uamuzi huo muda wowote kuanzia sasa.
viongozxi wa vyama vigine vya sisda kukimbia chadema si ni kuharibu mipango ya kisiasda ya vyama vyao
Kazi inaaanza akina Mrema Lyatonga hawooo wanazaliwa. Remeber x and y kwenye case ya McGee. Wavurugaji watupu hao. Wakamuulize Masumbuko Lamwai alivyogarazwagarazwa na hawa jamaa. Mwisho wa siku jamaa akarudi kundini. Sikubaliani na ujio wa Mabere Chadema.
Ni mtizamo wangu
Mabere Marando anatarajia kujiunga rasmi CHADEMA akitokea NCCR Mageuzi
chanzo changu ni watu walioko karibu naye na kuwa atatangaza uamuzi huo muda wowote kuanzia sasa.
viongozxi wa vyama vigine vya sisda kukimbia chadema si ni kuharibu mipango ya kisiasda ya vyama vyao