King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Hov Baby Holla.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HeheeheeKuna siku twitter, miss bulaya alipost sebule yake lakini watu walimshambulia kwa sababu tu kulikuwa na picha ya miss mdee. Watu wakahoji ni urafiki gani wa namna hiyo
Binafsi ukiniuliza naona wao ndio wanajua ni nini kinaendelea kati yao lakini pia bado naamini kwenye true friendships japo siku hizi ni kama zinapotea
😁😁😁 wabongo hawa hawa wanaopewa title halafu wanamalizia story wenyeweHeheehee
Wanaoelewa ndo maana wanasema mkuu!
Tuliosoma cbe,na tulikuwa tunakaa "area D",ghorofa za wabunge na mawaziri pale tunaelewa!😁😁😁 wabongo hawa hawa wanaopewa title halafu wanamalizia story wenyewe
Watoto wa idodomya, cbe nasikia huwa mna codes nyingi za majirani zenu wa city centre 😁Tuliosoma cbe,na tulikuwa tunakaa "area D",ghorofa za wabunge na mawaziri pale tunaelewa!
Noma sana.....🤣🤣
🤣🤣🙌😷Watoto wa idodomya, cbe nasikia huwa mna codes nyingi za majirani zenu wa city centre 😁