Mabeste anatuhitaji Wana-JamiiForums

pole sana
inaumiza sana

wewe ni mwanaume wa kipekee angelikuwa mwingine angeshamtosa.
 
Huu ndio UPENDO WA KWELI mabeste Mungu atakusaidia wife atapona. Umeonesha mfano mzr sana kwa watu kujali wapendwa wao. Ngoja nikupunguzie kakitu kidogo
 
du pole sana bro,mi nntakuombea dua tu bro mungu akufanyie wepesi.
 
Too much mnyamwezi!
Toa mchango and keep mnyamwezi for yourself!
 
Pole sana! ila hapa ni penyewe kwa wanabongo fleva kudhihirisha ukuu wao kwa kutoa japo cha kudondoshea kwenye bakuli la mabeste,sio mapicha ya majumba na magari na wenza wao!
 
leo hi hii namrushia mchango...pole kwake...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…