Mabibi na uleaji mbaya wa wajukuu

Mabibi na uleaji mbaya wa wajukuu

  • Thread starter Thread starter Deleted member 485868
  • Start date Start date
yna4 huyu ndie yuko kwa bibi?
485868.jpg
 
Habari zenu wa JF

Leo naomba tujadili namna Mama zetu wanavyolea watoto wetu

Hivi ni sahihi Bibi kumtetea mjukuu pale unapomuadhibu hata kama amekosa?

Wewe kama mzazi wachukuliaje suala la malezi ya bibi kwa mjukuu wake?

Je! Malezi wanayowapa/kuwadekeza na kuwaendekeza hawa watoto wetu ni sahihi?

Nawakilisha
My brother naomba nideclare interest kwenye hili. Mimi mzazi wangu mmoja alifariki nikiwa na miaka 4 mzee wetu hakuoa tena alitulea sisi wenyewe 3 na kila mmoja alijua kupika na kufanya kila kitu awe wa kike au wa kiume na kulisha ngombe na mbuzi na kuku na sasa kila mtu ni mzima na anajitegemea. cha msingi kila mtu achukue jukumu la kulea watoto wake haya mambo ya kulea au watoto kulelewa na wengine siyo tabia nzuri kabisa.
 
My brother naomba nideclare interest kwenye hili. Mimi mzazi wangu mmoja alifariki nikiwa na miaka 4 mzee wetu hakuoa tena alitulea sisi wenyewe 3 na kila mmoja alijua kupika na kufanya kila kitu awe wa kike au wa kiume na kulisha ngombe na mbuzi na kuku na sasa kila mtu ni mzima na anajitegemea. cha msingi kila mtu achukue jukumu la kulea watoto wake haya mambo ya kulea au watoto kulelewa na wengine siyo tabia nzuri kabisa.
Mimi ni ke..sawa nimeelewa ulichoandika lakini kuna wakati inabidi upeleke mtoto kwa Bibi kulingana na hali uliyonayo
 
Ulipokuwa mdogo ulikuwa hutaki kuchapwa na ulitaman mkubwa wa mzazi wako atokee akutetee, sasa mwanae nae yupo kama wewe ila inatokea kakuzid bahati yeye ana bibi lazima atetewe kama wewe ulivotamani, Hii inaitwa malipo ni hapa duniani.
La pili, asipomtetea atamtuma nani kwenye vi ishu vya kijinga kama kaniletee hiki au kile, kwahyo akimtetea anajenga urafiki na mtoto, ila sio sawa
 
Back
Top Bottom