Mabikra wawili wananichanganya tafadhali nisaidieni ushauri.

kaka lete kwetu pia tuuzie ..... ila watamu kama wabongo we si umeshatest vyote
 
Ndugu zangu napenda kutumia nafasi hii kuwashukuru saaana, woote kwa ushauri wenu na maoni yenu mbalimbali, pia vilevile naomba niwajulishe ya kwamba mimi sio muandishi wa hadithi na pia hii ni mara yangu ya kwanza kuja katika jukwaa hili na kutaka msaada kutoka kwenu. wanajamvi habari hii ni ya kweli kabisa ila sina njia ya kumuaminisha kila mtu, ila kama kunayoyote atahitaji uhakika zaidi hii namba yangu ya simu+250722344064,

nipo tayari kupokea ushauri wowote na kuufanyia kazi na yeyote atakae ni sms nitamjibu haraka,
mwisho kabisa napenda kutoa msimamo wangu kama ifuatavyo.....baada ya kusoma ushauri kutoka kwenu kwa kina na pia baada ya kushauriana na baadhi ya rafiki zangu mbalimbali waliopo nchi tofauti wengi wamenishauri niamue kuwa na wa kwanza kwani ndio chagua langu.
hivyo basi nimeamua kubaki wa kwanza na pia kwa vile tumezaliwa mwezi na tareh moja basi hata ndoa yetu tutafunga siku ya kusherehekea birthday yetu kwa pamoja. naahidi kuendelea kuawajuza muendelezo wa hadithi hii ya maisha yangu na Mungu akipenda baada ya kufunga ndoa tutakwenda honeymoon Zanznibar hivyo naamini naweza pata nafasi ya kuonana na wanajamvi mbalimbali waliojitolea kunishauri,

Asante sana sina cha kuwalipa ila nawaombea kwa Mungu heri na baraka, kazi njema na maisha mema ndugu zangu.
 

mkuu kwanza pole sana maana nimejaribu kuvaa viatu vyako nimeona jinsi vinavyobana.ila kwa upande mwingine hongera sana maana wote waliokuzunguka wanavigezo vya kuwa mke mwema.cha msingi kaa chini then shirikisha halmashauri zako zote za kichwa pamoja na moyo ikiwezekana na roho pia ninahakika utapata ufumbuzi wa yupi anaekufaa zaidi kutokana na vigezo vya mwanamke unaemtaka kua nae maishana.it is only you who can provide the right answer for this riddle
 
....:rain:very interesting jamani. kuoa ni try and error tu. jifunze kutojibu " no " sikuzote, kuna professional No na sio direct "no" kiivyo bana. oa wa kwanza wapili ukiendelea kumliwaza nae utampotezea muda kazi ipo hapo.......fuata hisia
 
Tulia na huyo wa kwanza nadhani ndiyo chaguo halisi.
 
Good story but confusing a bit!!! Mmoja wazazi wake walikufa kwenye Rwandan Genocide of 1959 lakini umri wake ni miaka 31 hadi sasa!!!!!! Pamenichanganya mno hapa..... Hebu pafafanue mkuu...unless kama ulimaanisha ile Rwandan Genocide ya 1994 hapo utakuwa consistent.
 
Oyaaaa mzee wa bikra vipi mwendelezo
 
Re: Mabikra wawili wananichanganya tafadhali nisaidieni ushauri.


Good story but confusing a bit!!! Mmoja wazazi wake walikufa kwenye Rwandan Genocide of 1959 lakini umri wake ni miaka 31 hadi sasa!!!!!! Pamenichanganya mno hapa..... Hebu pafafanue mkuu...unless kama ulimaanisha ile Rwandan Genocide ya 1994 hapo utakuwa consistent.

hardwood sory mkuu usichanganye maelezo walioondoka wakati wa genocide ya 1959 ni mama yangu na wazazi wake ambao walikimbilia Tz, ila hao akina dada wazazi wao waliuawa mwaka 1994 wakati wa genocide ambayo intarahamwe chini ya rais habyarimana waliazimi kulitokomeza kabila la kitutsi. nadhani umenisoma ndugu yangu
 
Gaga nadhani hakuna muendelezo zaidi ya maelezo haya ambayo niliyatoa asubuhi

Ndugu zangu napenda kutumia nafasi hii kuwashukuru saaana, woote kwa ushauri wenu na maoni yenu mbalimbali, pia vilevile naomba niwajulishe ya kwamba mimi sio muandishi wa hadithi na pia hii ni mara yangu ya kwanza kuja katika jukwaa hili na kutaka msaada kutoka kwenu. wanajamvi habari hii ni ya kweli kabisa ila sina njia ya kumuaminisha kila mtu, ila kama kunayoyote atahitaji uhakika zaidi hii namba yangu ya simu+250722344064,

nipo tayari kupokea ushauri wowote na kuufanyia kazi na yeyote atakae ni sms nitamjibu haraka,

mwisho kabisa napenda kutoa msimamo wangu kama ifuatavyo.....baada ya kusoma ushauri kutoka kwenu kwa kina na pia baada ya kushauriana na baadhi ya rafiki zangu mbalimbali waliopo nchi tofauti wengi wamenishauri niamue kuwa na wa kwanza kwani ndio chagua langu.
hivyo basi nimeamua kubaki wa kwanza na pia kwa vile tumezaliwa mwezi na tareh moja basi hata ndoa yetu tutafunga siku ya kusherehekea birthday yetu kwa pamoja. naahidi kuendelea kuawajuza muendelezo wa hadithi hii ya maisha yangu na Mungu akipenda baada ya kufunga ndoa tutakwenda honeymoon Zanznibar hivyo naamini naweza pata nafasi ya kuonana na wanajamvi mbalimbali waliojitolea kunishauri,

Asante sana sina cha kuwalipa ila nawaombea kwa Mungu heri na baraka, kazi njema na maisha mema ndugu zangu.
 
Niekusoma ndugu. Yaelekea huko Rwanda kunahitajika watanzania wengi vijana kwa kazi moja muhimu ya kuwafariji mabinti wa huko ambao wengi wao ni wahanga wa yale mauaji ya halaiki. Pili, naweza kuona dhahiri kabisa desperation ya huyu dada wa pili. Nothing simple u can do to avoid her. Utaingia gharama kidogo (yoyote ile) hadi akuelewe kuwa hutanii. Nadhani sasa hivi unawaza na kusema I wish tusingekutana

Muweke tu wazi kuwa tayari una mwenza. Mpe na vielelezo. Hali aliyo nayo japo ni ya muda, ni hatari. Itapita. Tumia akili na uzoefu wako kwenda nae hadi atakielea. Cha msingi huna kosa lolote katika kutokuwa naye
 
Re: Mabikra wawili wananichanganya tafadhali nisaidieni ushauri.


Niekusoma ndugu. Yaelekea huko Rwanda kunahitajika watanzania wengi vijana kwa kazi moja muhimu ya kuwafariji mabinti wa huko ambao wengi wao ni wahanga wa yale mauaji ya halaiki. Pili, naweza kuona dhahiri kabisa desperation ya huyu dada wa pili. Nothing simple u can do to avoid her. Utaingia gharama kidogo (yoyote ile) hadi akuelewe kuwa hutanii. Nadhani sasa hivi unawaza na kusema I wish tusingekutana

Muweke tu wazi kuwa tayari una mwenza. Mpe na vielelezo. Hali aliyo nayo japo ni ya muda, ni hatari. Itapita. Tumia akili na uzoefu wako kwenda nae hadi atakielea. Cha msingi huna kosa lolote katika kutokuwa naye

Raia fulani nimekusoma kaka, you are in my mind jhata mimi nafikiri the same, hata leo kanipigia sim mara 6 akihitaji tuonane nnimetoa excuse kadhaa na ameelewa, ila bado naamini nahitaji busara zaidi kumbadilisha kifikra ila naamini kwa nguvu za Mungu mambo yatakaa sawa, kweli sometimes najuta kwanini nilikutana nae lakini hakuna jinsi yote namuachia Mungu. thanks once again Raia fulani.
 
[/I]Raia fulani nimekusoma kaka, you are in my mind jhata mimi nafikiri the same, hata leo kanipigia sim mara 6 akihitaji tuonane nnimetoa excuse kadhaa na ameelewa, ila bado naamini nahitaji busara zaidi kumbadilisha kifikra ila naamini kwa nguvu za Mungu mambo yatakaa sawa, kweli sometimes najuta kwanini nilikutana nae lakini hakuna jinsi yote namuachia Mungu. thanks once again Raia fulani.
[/COLOR][/QUOTE]
You are welcome, bro. Cha msingi yatapita ukitumia akili yako vya kutosha. Na MUNGU pia
 
Thanks raia flan and karibu sana Rwanda any time you will be my guest.
 
yaap, nimekusoma kaka nimejaribu kutuma pm kwako, from there we can stay intouch.good night and enjoy your weekend, urakaza neza
 
Pole sana the Future; lakini nikupe hongera pia maana inaonekana wewe ni kijana mtulivu mwenye maadili mazuri...nakupa BIG UP kwa hilo!

Nami niungane na wengine kwamba, please usije ukamuumiza yule binti wa kwanza! Nakuombea Mungu akusaidie kukupa hekima katika kumsaidia huyo mwingine wa pili! Naomba usimdanganye kwamba utamuoa, mwambie tu ukweli; mwambie unaweza ukawa rafiki kwake...lakini sio mume! Kwa kweli kama unamwamini Mungu, basi mwombe atakusaidia!
Nakutakia kila la heri!
 
yaap, nimekusoma kaka nimejaribu kutuma pm kwako, from there we can stay intouch.good night and enjoy your weekend, urakaza neza

haya bwana! Naona hapo mwisho nami umeniacha kwenye mataa. Wkend njema nawe pia, ndugu
 
Vipi jamaa na mabikira? au kaamua kuwachukua wote?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…