'Mabilionea' wanaomiliki timu za Mpira wa Miguu barani Africa na Utajiri Wao.

Tuanzie hapa,
1. Katumbi kaanza kuimiliki Mazembe lini na Mo kakabidhiwa mabingwa watetezi wa TPL lini?

Hatuna maneno mengi, Tunakusubirini basi klabu bingwa tuone kazi ya fedha zenu.
 
Hatuna maneno mengi, Tunakusubirini basi klabu bingwa tuone kazi ya fedha zenu.
Mkuu huu msimu hatuishangazi Tanzania tu, bali pia bara zima la Africa. Amini nachokuambia.
 
Hata azam haipo[emoji15] [emoji15]
Mkuu, huyu ndugu yetu alisahaulika ila nafasi yake ni kama ifuatavyo;
3.
Jina La Mmiliki: Said Salim Bakhresa
Jina La Timu: Azam FC
Nchi: Tanzania
Net Worth: $600 Million
Japo Azam kaingia hapo.. Ninyi nafasi yenu inabaki pale pale.
 
Mbona Simuoni Papaa Kalekwa Mmiliki Wa Sofapaka Ya Kenya
 
Mbona Simuoni Papaa Kalekwa Mmiliki Wa Sofapaka Ya Kenya
Mkuu list ni ndefu sana.. Na ndo mana kuna vidoti doti baada ya namba 6 then kuna mwisho.. Hii inamaanisha kwenye hivyo vidoti doti ndo kuja kina Sofapaka, Singida United n.k alafu ndo kuna Yahya Akilimali.
 
Heb fanya kama unaileta hyo thaman ya uwekezaj wa MO ktk Tsh. Tuuone werev wako ewe simba fan mwenzangu
 
Yaani mleta mada ni mpuuzi was kutupwa, hivi unaweza fananisha To Mazembe na uchafu wenu was Kariakoo? Hats Azam fc wenyewe huwezi fananisha na hizo takaka. Sema tu were mhemko was kushabikia Simba unakusumbua, nahisi unataka kumpora cheo Manara. Wenzio wakiletaga data kama hizi, uweka na source ili watu wajiridhishe, hebu weka source hapa kama kweli wewe siyo mbumbumbu.
 
Naimani hata babu yako alizaliwa huku analisikia jina la YANGA acha dharau
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…