Orodha hii imepangwa kutokana na kiasi cha fedha (net worth) anachomiliki owner wa timu.. Na anaanza owner mwenye mkwanja mrefu.
1.
Jina La Mmiliki: Patrice Motsepe
Jina La Timu: Mamelodi Sundowns
Nchi: South Africa
Net Worth: $1.8 Billion
2.
Jina La Mmiliki: Mohammed Dewji
Jina La Timu: Simba SC
Nchi: Tanzania
Net Worth: $1.5 Billion
3.
Jina La Mmiliki: Said Salim Bakhresa
Jina La Timu: Azam FC
Nchi: Tanzania
Net Worth: $600 Million
4.
Jina La Mmiliki: Dr. Papa Kwasi Nduom
Jina La Timu: Elmina Sharks
Nchi: Ghana
Net Worth: $400 Million
5.
Jina La Mmiliki: Ali Haddad
Jina La Timu: USM Algiers
Nchi: Algeria
Net Worth: $300 Million
6.
Jina La Mmiliki: Moïse Katumbi Chapwe
Jina La Timu: TP Mazembe
Nchi: Congo
Net Worth: $60 Million
7.
Jina La Mmiliki: Irving Khoza
Jina La Timu: Orlando Pirates
Nchi: South Africa
Net Worth: $30 Million
.
.
.
.
.
.
Mwisho;
Jina La Mmiliki: Yahya Akilimali
Jina La Timu: Ndala SC
Nchi: Tanzania
Net Worth: Below $2,000.
Nikiripoti toka katika tawi la Forbes Africa, lililopo hapa Posta ndani ya jiji hili la Dar es Salaam... Ni Mimi sembo wa Simba TIIIIIIIIVIIIIIIIIIIIIIIIII (in George Maratu Voice)